GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,181
Kuna Wenzetu wengine kwa Roho zao Mbaya leo walijipendekeza kuomba Uraia wa Taifa la Morocco ila baadae kwa Kuumbuka na Kuonana Onana wakaamua tu kurejea kuwa Wananchi wa Tanzania.
Mume kamaliza Kazi leo tarehe 19 Desemba, 2023 hivyo ni matumaini yetu kuwa na Mke nae Kesho tarehe 20. Desemba, 2023 atalimaliza Jukumu lake zito na mwenye Ugeni nalo tokea mwaka 1998.
Kila la Kheri Wajukuu wa Nkurumah.
Mume kamaliza Kazi leo tarehe 19 Desemba, 2023 hivyo ni matumaini yetu kuwa na Mke nae Kesho tarehe 20. Desemba, 2023 atalimaliza Jukumu lake zito na mwenye Ugeni nalo tokea mwaka 1998.
Kila la Kheri Wajukuu wa Nkurumah.