ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,726
- 127,673
Mkuu Choice,Lakini imefungulia vyombo vingi sana
Hujajibu swali langu
Mkuu Choice,Lakini imefungulia vyombo vingi sana
Swali, Unatumia njia gani kuingia na kutumia JamiiForums?Swali liko wapi hapo? Mkipewa mwanya mnahamasisha vurugu...Mkome !
Inawezekana ni WI-FIPC inafanya mtandao uliofungiwa na TCRA ufunguke!?
Situmii VPN , labda unaweza usiamini ...Swali, Unatumia njia gani kuingia na kutumia JamiiForums?
Mpaka Msigwa anatumia VPNMnaoiunga mkono CCM mnapotaka kutumia mitandao ya kijamii JF ikiwemo, huwa mnatumia VPN?
Mnawezaje kukiunga mkono chama kinachofanya matendo ya kuzuia wafuasi wake kuwa huru kwenye kutoa maoni na kupata taarifa?
Hawezi kufikiri zaidi ya urefu wa pua yakeZezeta la Samuya katika ubora wako.View attachment 3581908
Anaona watu wote humu wana akili fupi kama zake za kuwaza buku 7.Hawezi kufikiri zaidi ya urefu wa pua yake
Unatumia VPN au hautumii VPN?Swali lipi fala wewe ?
mmoja waohiyo nonsense ndio nini ndugu mfuata mkumbo?
Ulizaneni kwanza Kwanini CHADEMA na wafuasi wake mmejaa matusi midomoni mwenu utafikiri vichaa au wendawazimu
Gentleman,Ujinga wangu uko wapi?
Umetumia njia gani kuingia jf?
Copy kwa:
Tlaatlaah
ChoiceVariable
Lucas Mwashambwa
acha upotoshaji,
Majibu ya kitapeli haya.Lakini imefungulia vyombo vingi sana