Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

Mnaoiunga mkono CCM mnapotaka kutumia mitandao ya kijamii JF ikiwemo, huwa mnatumia VPN?

Mnawezaje kukiunga mkono chama kinachofanya matendo ya kuzuia wafuasi wake kuwa huru kwenye kutoa maoni na kupata taarifa?
Hawajazui ila hawataki matumizi mabaya
 
Back
Top Bottom