Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

Mnaoiunga mkono CCM mnapotaka kutumia mitandao ya kijamii JF ikiwemo, huwa mnatumia VPN?

Mnawezaje kukiunga mkono chama kinachofanya matendo ya kuzuia wafuasi wake kuwa huru kwenye kutoa maoni na kupata taarifa?
Nafikiri ungewataja specifically wakaja kutoa majibu hapa maana hii hali ishakuwa kero mno.

Siku nzima ya jana nimeshindwa kuingia JF kwa sababu ya uvivu wa kuwasha VPN
 
JF walikiuka masharti ya regulators wakala ban kama wanavyotufanyia sisi.

Huyo mjinga aliyekwenda kufungua kesi mahakamani naye kazidi kuchafua hali ya hewa.

Ban ilikuwa 90 days, kuna kesi mahakamani regulator anaifunguliaje JF.
 
JF walikiuka masharti ya regulators wakala ban kama wanavyotufanyia sisi.

Huyo mjinga aliyekwenda kufungua kesi mahakamani naye kazidi kuchafua hali ya hewa.

Ban ilikuwa 90 days, kuna kesi mahakamani regulator anaifunguliaje JF.
Huyo mjinga ni lazima atakuwa ametoka "ujingani Village". Ni kama Mohamed Issa.

Maigizo yenu tunayajua!!
 
Back
Top Bottom