saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 5,677
- 7,809
s
saazingine muwe mnaficha ujinga na ushamba wenu. we umeshafika huko kwa wazungu? Cocacola na pepsi zote ni kampuni za Marekani na soda zao ziko dunia nzima. Hizo soda raw materials zote zinatoka kwao na wanakuja mara kwa mara kutembelea viwanda vya hapa kwetu kuangalia wanafuata formula zao na ubora. Energy drinks zimeanza kwao, RedBull imwetoka kwao pia. Acheni kuandika vitu vya hovyo, km hutaki iache lazima uwashirikishe wenzako kwa kutoa kashfa za uwongo?Weweee, nani kakuambia mtu mweupe huwa anatumia vitu kama hivyo??!!, Wao wanajali sana viwango (standards) kabla bidhaa haijaingia sokoni na hasa bidhaa yenyewe ikiwa inahusiana moja kwa moja na afya za watu, huwezi kukuta vitu kama hizi Energy drinks zisizokuwa na viwango huko Ulaya, kabla vinywaji havijaingia sokoni hufanyiwa uchunguzi mkali sana ndipo ziingizwe sokoni kitu ambacho huku kwetu ni vigumu sana kufanyika kwasababu ya utaalamu wetu mdogo, Rushwa nk.
Mimi huu ni mwaka wa 6 sijanywa kinyaji chochote cha machupa na Soda.