Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,956
Kitu gani? Wewe unachofikiri sio sumu tiba gani? Kuu unayoitegemea, watakuua popote palee sio tu kwenye soda sumu, % asilimia ya vitu vingi tunategemea kwao panaldo na muendelezo wake hayaa vifaa vyote vya uuguzi haya kuzalisha mama mjamzito vifaa vyote vya uzalishaji- sasa unawakimbia wapi? Wakitaka kukuua
Hivi wewe nikupe jina gani??, hivi unatumia akili kufikiri??
Wewe unaweza kunywa sumu ukitambua kwamba hiyo unayokunywa ni sumu??-- kama ukinywa utakuwa unazo akili za kujitambua kweli??!
Hicho unachokiongea ni desperate and submissiveness to them and succumbing to whatever vices they plan against you, it seems you are willing to accept even homosexuality about which they have been professing to us and that is a stage of self unconsciousness you have attained.
Nasema hivi; Wafanye njama zozote za kunidhuru kwa siri mimi nisijue hapo nitakuwa sina jinsi lakini wakifanya njama ya kunidhuru huku naona kwamba hiyo ni njama ya kunidhuru hapo ni lazima nichukue hatua.
Waafrika tujitambue tusiwe kama Wanyama tusiojitambua hata kidogo, vinginevyo hao watazidi kutudharau.