BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,047
Mimi sio mtumiaji wa soda ila jana nilinunua soda coca lakini nilivyoinywa niliona utofauti mkubwa sana hasa kwenye ladha na pia soda haina gas.
Leo tena nimeinywa sehem nyingine naona ladha ileile coca imebadilika sio kama ilivyokuwa zamani kiukweli soda imenishinda ina ladha mbaya sana. Hii sio coca nayoijua mimi imekua ya hovyo mpaka nikahisi labda ime expiry, kucheki date naona ipo sawa.
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye hii soda sijajua kwenye fanta na aina zingine. Cocacola wamechange formula yao au ni mimi tu sababu sijainywa muda mrefu??. Maana nasikia mpaka kichefuchefu soda inaladha ya ajabu.
Mnaoitumia hii soda naombeni majibu juu ya hii soda.
Leo tena nimeinywa sehem nyingine naona ladha ileile coca imebadilika sio kama ilivyokuwa zamani kiukweli soda imenishinda ina ladha mbaya sana. Hii sio coca nayoijua mimi imekua ya hovyo mpaka nikahisi labda ime expiry, kucheki date naona ipo sawa.
Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye hii soda sijajua kwenye fanta na aina zingine. Cocacola wamechange formula yao au ni mimi tu sababu sijainywa muda mrefu??. Maana nasikia mpaka kichefuchefu soda inaladha ya ajabu.
Mnaoitumia hii soda naombeni majibu juu ya hii soda.