Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,999
- 23,497
Sijakukejeri mkuu nimeuliza maana namna umeandika i was left confused.Ila la kejeri
Sijakukejeri mkuu nimeuliza maana namna umeandika i was left confused.Ila la kejeri
Ngoja popo bawa wakufuate shekheKulalia mto siwezi kabisa, kila mtu ananishangaa ndo hivyo siwezi,,
Kulala taa inawaka aaah siwezi,,
Muziki uwe sauti ya chini,, sema hii ni video lazima nisikilize ndo nilale na itajirudia mpk simu izime,
Nalala uchi,, hata hapa nipo uchi ndani ya shuka,,
Nishamlza
Wewe unawezaje?Mimi binafsi siwez lala bila mto
Siwezi lala uchi yaan mali zangu ziwe naked kabisa siwez lazima nilale na bukta au pensi
Siwez lala taa ina waka
Siwezi lala mwanzoni mwa kitanda lazima nianguke
Siwez lala uku mziki una imba no
Ninyi wengine mna wezaje?
Ni ngumu sana sana,, Kuna vitu baadhi ya jamii ni mwiko kabisa,, 😂 😂 huyo atavamia wenye vinasaba naye....Ngoja popo bawa wakufuate shekhe
Nikilalaga kwa majirani, ndio huwa naona faida ya mito mingi, kuna miwili nitakumbatia mingine miguuni , ila home mto upo mmoja nao ni mgumu kama jiwe 😅😅Mito mitano.
Kichwani, mgongoni, tumboni, katikati ya mapaja na miguuni kote mito.
Huu uongo wako utakupeleka pabaya 😅Nikilalaga kwa majirani, ndio huwa naona faida ya mito mingi, kuna miwili nitakumbatia mingine miguuni , ila home mto upo mmoja nao ni mgumu kama jiwe 😅😅
Mimi hulalia mto ila usingizi ukianza nautupa pembeni siwez pata usingizi mzuti nikiwa nimelalia mtoMimi binafsi siwez lala bila mto
Siwezi lala uchi yaan mali zangu ziwe naked kabisa siwez lazima nilale na bukta au pensi
Siwez lala taa ina waka
Siwezi lala mwanzoni mwa kitanda lazima nianguke
Siwez lala uku mziki una imba no
Ninyi wengine mna wezaje?
Kumbe ndio tafsiri yakeKama huvuti bangi basi unapiga sana kunyeto 🤣🤣🤣
Tofauti na hapo basi wewe huna future upo na kichwa kama cha mtoto mdogo
😅 majirani wanajali wageni na ndio mtu wapata nafasi ya kupumzika, mazingira yangu ya kulala hayapo comfortable inanipa sana kufanya kazi usiku, kuna dada alikuwa anahisi mie na maisha mazuri, akang'ang'ani kuja napo ishi na kulala, mbona nimetoka msindikiza akaniacha na kuniacha na simu yangu aka block.. Ukisha jaza mito na kitanda safi aah utalala masaa nane, kitu ambacho nitaugua na moyo kwa uchunguHuu uongo wako utakupeleka pabaya 😅
Kwanini majirani wana mito we huna? 🤣
kaka haloo umenichekesha yaani uzi unapotosha maana yoteComment kama hizi zikiwa za kwanza ni wazi uzi usha haribiwa vibaya
kitu sipend mimi kulala umekumbatiana na mtu aiseeKwani kuna watu wanalala bila mto??
Binafsi lazima nilale na mto,mto mwingine nauweka katikati ya mapaja ama kuukumbatiaView attachment 3454304
Picha
kitu sipend mimi kulala umekumbatiana na mtu aisee
😂😂😂 Hayaaa!😅 majirani wanajali wageni na ndio mtu wapata nafasi ya kupumzika, mazingira yangu ya kulala hayapo comfortable inanipa sana kufanya kazi usiku, kuna dada alikuwa anahisi mie na maisha mazuri, akang'ang'ani kuja napo ishi na kulala, mbona nimetoka msindikiza akaniacha na kuniacha na simu yangu aka block.. Ukisha jaza mito na kitanda safi aah utalala masaa nane, kitu ambacho nitaugua na moyo kwa uchungu