Mnao lala bila mto pillow mna wezaje?

Mnao lala bila mto pillow mna wezaje?

Hizo scenario zako mbona ziko kimayai sana.
Huwez kulala na muziki unaimba huku wengine tunalala na earphone, watu wana lala war combat zone, watu tunalala kwenye edge ya kitamba kabisa na tunajigeuza na hatuanguki, tunalala juu bomba za fuso zile usiku chuma inatembea na baridi kali, tunalala pillow ngumi chini umepiga buti.

Na unavyopenda kupika pika hivyo unaweza ukalala na njaa wewe??
Nimeongelea kwa mazingira ya nyumbni nikikuoneshea maangaiko yangu sizan kama utaweza
 
Mimi binafsi siwez lala bila mto

Siwezi lala uchi yaan mali zangu ziwe naked kabisa siwez lazima nilale na bukta au pensi

Siwez lala taa ina waka

Siwezi lala mwanzoni mwa kitanda lazima nianguke

Siwez lala uku mziki una imba no

Ninyi wengine mna wezaje?
Tunaolala bila mto pia tunakushangaa unawezaje kulala kichwa kikiwa juu ya mto, maana wengine tukijaribu lazima tupaliwe ama tuhisi kama tunakabwa na tukiamka shingo zinauma kama tulikuwa tunapakua mzigo kwenye kontena.
Ila usijiachie sana maana jela hakuna mto wala chandarua
 
Ukuruti una weza lala ata kichakani kabisa 😂😂
Bora hata kichakani, mimi nililala huku natembea na nimebeba ndoo ya maji kichwani na ndoto kabisa naota. Nikaja kushtuliwa na kuruti mwenzangu baada ya kuona nimeacha njia naingia msituni.

Mtu akikusimulia unaweza kuhisi uongo ila kwa waliopitia ukuruti watakuwa na ushuhuda.
 
Bora hata kichakani, mimi nililala huku natembea na nimebeba ndoo ya maji kichwani na ndoto kabisa naota. Nikaja kushtuliwa na kuruti mwenzangu baada ya kuona nimeacha njia naingia msituni.

Mtu akikusimulia unaweza kuhisi uongo ila kwa waliopitia ukuruti watakuwa na ushuhuda.
Ahahah mm nilisomwa jina majina yote matatu mpaka leo sikumbuki yule afande majina yangu aliyapataje na kila mmoja alikuwa ana taja jina lake ila mm sikumbuki kama nilitaja jina langu
 
Wa jf unamjua wewe, maana hata nikisema unitajie ni nani utabaki kusema To yeye ni Malaya....ulimwambia Zulu about me,laiti wangekuambia uprove sijui ungeprove vip...mnabaki kuwazungumzia kina smart ambao hata sura hatuwafahamu.... najua sipatani nawe Mpaji Mungu ila nakaza tu maana sikufahamu hivyo naogopa nitajicheka kugombana na mtu nisiyemfahamu....jf kina Manfred mpo wengi ila tunafunika tu.Kifo kipo tusifanyiane mabaya mkuu
Umenitag nimejaribu kusoma mnachojadili sijaelewa kabisa, nimesoma heading ndo kabisa nimechanganyikiwa. Nini kinaendelea hapa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom