Mnao lala bila mto pillow mna wezaje?

Mnao lala bila mto pillow mna wezaje?

Taa kuwa on hapana, mziki sauti ya chini Yes,,,, napenda sana !

Kulala na bukta ama boxer ni sahihi kwa mwanaume, unalalaje nyara ziko wazi ?
Hata kama umelala na mkeo/mpz mkimaliza yenu vaa bukta/boxer lala
 
Taa kuwa on hapana, mziki sauti ya chini Yes,,,, napenda sana !

Kulala na bukta ama boxer ni sahihi kwa mwanaume, unalalaje nyara ziko wazi ?
Hata kama umelala na mkeo/mpz mkimaliza yenu vaa bukta/boxer lala
Kabisa ila wapo watu wanalala naked
 
Mazoea hayo nadhani... Mimi huwa nakua comfortable nikilala sehemu iliyonyooka ila nikitumia mto huwa ni probability kuna siku naamka Niko sawa na siku nyingine naona kama shingo yangu kuna namna haiko sawa hivi😅😅
Duh tna tofautian
 
Kulalia mto siwezi kabisa, kila mtu ananishangaa ndo hivyo siwezi,,

Kulala taa inawaka aaah siwezi,,

Muziki uwe sauti ya chini,, sema hii ni video lazima nisikilize ndo nilale na itajirudia mpk simu izime,

Nalala uchi,, hata hapa nipo uchi ndani ya shuka,,

Nishamlza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom