binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,388
- 41,813
Dah hadi nimepaliwa maziwa.Hakijaharibika kitu,njoo PM nikupe ushauri wenye manufaa,
Au nikupigie kwenye ile namba yako ya TTCL?
Kwasasa tulia, tuchape kazi tulipe kodi. jioni ikifika piga kabisa kwenye hiyo namba ya TTCL kwa ushauri zaidi. 🤣
Usije kunipa ushauri sasa hivi nikaangua kilio mbele ya umma.