MMU hot talk

MMU hot talk

hahaha kwangu ku try ngumu lazima lazima nijue kama future ipo hahaha
Qn 15. Je kuna ndoa zinakuinspire
labda na kukutamanisha uolewe
maybe? Anyting unataka kusema
kuhus ndoa maybe? Otherwise
nashukur sanaa kwa kushiriki.

Zipo lakini haziwezi kunifanya nitamani kuolewa, bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi ukadhani utapata kama kile.

Ndoa nijambo jema likikujia lipokee kwa mikono miwili.

Nashukuru miss neddy kwa mwaliko nime enjoy sana na natumaini sijaboa, ingawa maswali mengine yalikuwa magumu, ahsante pia wale wote waliopoteza muda wao kufwatilia Mungu awabariki.
 
Last edited by a moderator:
mkuu ban nje nje hapa
Kuna watu wanakera bwanaaa! Mtu hata kujistuki aseme ajistahi mbele za watu hapa afiche aibu yake, kakalia kupayuka payuka mambo ya kipuuzi tu! Eboooo!
 
ahsante angelita nakushukuru kwa muda wako ingawa network ilisumbua ila umebamba lol wenye maswali kwa angel nawapa go ahead ulizeni atawajibu cc Tee Bag
 
Last edited by a moderator:
lara 1

Naanza kula sahani moja na wewe, nimeshituka unapogusa pana Neema hukoseagi.
 
Last edited by a moderator:
mkuu angelita wewe bado ni mdogo sana
(1) ashatembea na wanaume wangapi?
(2) aliyefingua njia alikutenda au ulimtenda?
(3) hufikirii ndoa bado unazipima hujapata saizi unayoitaka?
(4)ukiolewa utamchukulije atakae kuibia mume ikiwa ww unaiba wa wenzako
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa sidai ndoa wala sina kimuhe muhe cha kuolewa karibuni, mahusiano yangu naenjoy sana sababu hayana deni wala expectations tunafocus kwenye kuenjoy wakati tuliopo sio possibility za huko mbele, hiyo imenifanya niwe na appreciate mambo mazuri nayotendewa badala ya kukaa na kuhesabu vitu ambavyo sijatendewa you should try it sometimes too.

does this answer still holds when u date a single man (who is not married)? Or it is applicable because u er dating a married man since there is no way u can have him forever that's why u have no reason for expectations
 
good question Tee Bag especially no4 ngoja aje ajibu
 
Last edited by a moderator:
mume watu jua fika hawezi kukuoa kwa nn usitafute wakwako peke yako au usbazoea kupigwa na kuwachwa
 
does this answer still holds when u date a single man (who is not married)? Or it is applicable because u er dating a married man since there is no way u can have him forever that's why u have no reason for expectations

Hahaahahaaaaaa.... Kutoka na mume wa mtu ni matokeo ya hili jambo, ningekuwa mtu wa kuhesabu nisinge toka na mume wa mtu in the first place.
Lakini yaaah nimeangalia beyond fact kuwa ameoa ukarimu wake, uchesi, kujali na mambo madogo kama hayo nimelizika nayo. After all ni muislam mke wa pili suna nikitaka ntakuwa bimdogo lakini sijataka.
 
Back
Top Bottom