MMU hot talk

MMU hot talk

Mi nimesema tu...mana nimezoea hiyo ni tabia ya kihaya wala sijawahi kujua we ni kabila gani

Ungenielewa nilikuwa na maana gani wala usingefananisha na mbwembwe za wahaya, nilichoandika ndio maisha yangu halisi nina bill nyingi za kuclear kila mwezi na Annual.
 
Nipo switie miss u too. Yan ukipoteaga wewe hadi mume wetu makoyo anapotea

uwiiiiii best tunapotezan huwezi amin tunajifungia na kusahau ya huku.....

msalimie sana Asprin nadhani kwa sasa uzee wake unamwandama
 
Last edited by a moderator:
Huku hukutakiwa kupita kabisa Phlagiey salamu zako zimenifikia nikaja mbio mbio. Kuna mtu aliazima ID yangu.
Asante kwa kuzipata salamu zangu.

Kuhusu kupita hapa najihisi kama nimejikwaa lakini nimejikwalia mahala pazuri maana baada ya kusimama na kujikung'uta vumbi kuangalia mbele yangu nikaona mbulungutu la pesa, hivyo kujikwaa kwangu kuna faida. Mkaa bure siyo sawa na mtembea bure, japo nimejikwaa lakini nimetoka na kitu hapa.

Usijali sana tuko pamoja, kila jambo linawakati wake, cha msingi ni kukimbizana na muda usikuache mbali maana ya leo siyo ya jana, na kinacho kwenda kinarudi kwa mtindo mwingine ni vyema kuchunguza mapito yako hasa kwa mwenye imani kama yangu ya alieko juu mngoje chini, ukiamini ipi siku atadondoka, lakini somo litakuwa gumu kwa mwenye imani ya alieko juu mfuate huko huko iwe kwa shari ama kwaheri.

Nimeandika mengi kidogo lakini yapo machache ya kuzingatia haya hapa;

  • Zingatia Muda
  • Chunguza mapito
  • Furaha yaweza kukupa chozi ila chozi haliwezi kukupa furaha.
 
Asante kwa kuzipata salamu zangu.

Kuhusu kupita hapa najihisi kama nimejikwaa lakini nimejikwalia mahala pazuri maana baada ya kusimama na kujikung'uta vumbi kuangalia mbele yangu nikaona mbulungutu la pesa, hivyo kujikwaa kwangu kuna faida. Mkaa bure siyo sawa na mtembea bure, japo nimejikwaa lakini nimetoka na kitu hapa.

Usijali sana tuko pamoja, kila jambo linawakati wake, cha msingi ni kukimbizana na muda usikuache mbali maana ya leo siyo ya jana, na kinacho kwenda kinarudi kwa mtindo mwingine ni vyema kuchunguza mapito yako hasa kwa mwenye imani kama yangu ya alieko juu mngoje chini, ukiamini ipi siku atadondoka, lakini somo litakuwa gumu kwa mwenye imani ya alieko juu mfuate huko huko iwe kwa shari ama kwaheri.

Nimeandika mengi kidogo lakini yapo machache ya kuzingatia haya hapa;

  • Zingatia Muda
  • Chunguza mapito
  • Furaha yaweza kukupa chozi ila chozi haliwezi kukupa furaha.

Ujumbe mzito huu umenipa mawazo, naimani fumbo ulilonipa ntalifumbua.
 
Miaka kadhaa hujashika million na wala hujawahi kufikiria kujinyonga? Kama ni kweli una roho ngumu kweli.

Milioni na uhai wangu vina connection gani?Kukosa milioni sio mwisho wa maisha na wewe hapo una milioni si ajabu unatamani hata kesho ufe kwa stress ulizonazo ila mie naenjoy tu na kidogo nilicho nacho
 
Milioni na uhai wangu vina connection gani?Kukosa milioni sio mwisho wa maisha na wewe hapo una milioni si ajabu unatamani hata kesho ufe kwa stress ulizonazo ila mie naenjoy tu na kidogo nilicho nacho
Adui muombee njaa atanyosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa..!!
 
Back
Top Bottom