MMU hot talk

MMU hot talk

Yaani wanamshauri mwenzao amuache leo wakati kaagiziwa gari...
Hii si sawa.

Ivi gari ni nini..? mbona mnaaibisha hivyo yaani gari ndo linawachengua hivyo...? lakini mbona kuna wengine wenzenu wengi tu wanapiga mzigo wananunua hayo magari na wametoka familia maskini tu..!!!!!
 
Ha ha umepanic....
Kama mie sura imenishuka wewe utakuwa una uharaza wa pusi
Mtatangaza sana miaka ...
Hata miss Tz kasema ni 18...
Haisaidii...
Wanaume wamewashtukia wanaangalia sura kama imeshuka or not...
Miaka weka kwenye vyeti vya kuombea ajira au u miss
 
Ha ha umepanic....
Kama mie sura imenishuka wewe utakuwa una uharaza wa pusi

Nimefuta kauli yangu...

Wewe ni mzuri kama huyo unayemtumia kwenye avatar yako...lol

(nisije nikaua bashara za watu)
 
Ivi gari ni nini..? mbona mnaaibisha hivyo yaani gari ndo linawachengua hivyo...? lakini mbona kuna wengine wenzenu wengi tu wanapiga mzigo wananunua hayo magari na wametoka familia maskini tu..!!!!!
Uko sawa kabisaaa lakini mwenyewe kapenda kupata kwa njia hiyo kuna ubaya......
Haaaaaa mshahara wenyeqw kazini 500k kuanza nao mpaka upate 12m kununua gari leo....
Na keshasema yupo anasoma embu mumuwaaacheee
 
it was just a by the way....ok the foot soldier... but you know the whole truth....this is the highest degree of selfishness.....moneysake ,...moneysake....and who is targeted...the poor married man....so shameless

LIKE I KEEP SAYING SHAME IS OVER RATED! Hahaahahaaaaaaaaaaa!
miss neddy YOUR SHOW IS RATING 100% NA KESHO JTATU! IT IS DA BOMB! TALK OF MMU! IKIFIKA IJUMAAA SIWEZI KUKOSA MAANA LAST TIME HATA SISIMIZI WALIOKATIZWA WALIPIGWA BAN, ACHA WEWE HOST NA MIE MGENI RASMI WA THAT WEEK! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! HOW HOTTER CAN IT GET? I HAVE NO IDEA! LETS FIND OUT!:A S wink::A S wink:
 
Last edited by a moderator:
Ha ha umepanic....
Kama mie sura imenishuka wewe utakuwa una uharaza wa pusi

HAAHAHAAAAAAAAAAA! WE SI ULIKUWA TEAM YA REPUBLICANS? MBEBA POCHI WA HER MAJESTY YOUR ROYAL HIGNESS/ HAPPY MARRIAGE??????????????????? HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!

WELCOME TO THE DEMOCRATS WHERE TRUTH HAS NO TEMPERATURE!

HATA UKIA MBAYA BUT YOU ARE STILL YOUNG AS SHIT! Hahahaaaaaaaaaa! TWENTY HOW MANY AGAIN????????? Hahahaaaaaaaaaa!

Mie bibi wa 60 GOING 61 nawaangali vijana bwanaaaaa, umri bado mnao mkononi! Chezea kubambwa nadanganya umri???????? mBINU ZA KI Sitti Mtemvu zime back fire! Hahahahaaaaaaaaaa!

Niko viti virefu so my judgement is blurred, nisje pigwa BAN buree again! NIMESIKIA TO KUNA REPUBLICAN KAHAMIA DEMOCRATS NIKAONA NIJE NIKUPOKEE IN PERSON! warmly welcome! Tunakupa GENERAL AMU!

AND GLADIATION MAY CONTINUE PLEASE!
 
You can say that again (navyopenda kusifiwa lol)

Mimi nimekukubali sana nyumba kubwa...kwa sababu atleast pia kuna wasichana wapya na wenye umri mdogo wanajiunga hapa jf..lakini wakiogopa kupinga huu ushamba wa hawa akina angelita na wenzao kwa kuogopa bulling kama wanayo kupa wewe..lakin sasa angalau watapata mtazamo tofauti(mimi nafahamu kama watatu hivi)..hongera kwa somo zuri ulilowapa ..Nafikiri TEAM JF INAYOAMINI MAFANIKIO YOYOTE(mapenzi,ndoa au uchumi) YANAKUJA KWA KUFANYA BIDII itakupitisha kuwa JF woman of the year 2014.
 
umepanic.....
Uwiiiii usiombe poo kwa modes uzi tu ufutwe...
Nimefuta kauli yangu...

Wewe ni mzuri kama huyo unayemtumia kwenye avatar yako...lol

(nisije nikaua bashara za watu)

Ha ha ha we mmama mie nina wangu nimetulia tuliiiii halafu hujakosea ni mzuriiii haswa...
Naona unataka matusi...
Nikiufungulia hapa usikimbilie report abuse....
 
HAAHAHAAAAAAAAAAA! WE SI ULIKUWA TEAM YA REPUBLICANS? MBEBA POCHI WA HER MAJESTY YOUR ROYAL HIGNESS/ HAPPY MARRIAGE??????????????????? HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!

WELCOME TO THE DEMOCRATS WHERE TRUTH HAS NO TEMPERATURE!

HATA UKIA MBAYA BUT YOU ARE STILL YOUNG AS SHIT! Hahahaaaaaaaaaa!

Kwi kwi kwi...

Kumbe na wewe umeshamuona hatabiriki, aaminiki...

Huku yupo
Kule yupo

Na hatutaki wasaliti kwenye team yetu mpya siye...

Tumewapa ... mchukueni buuuree...
 
We acha tu nliokuwa upande wao washangeuka........hapa nacheka sina hamu...
HAAHAHAAAAAAAAAAA! WE SI ULIKUWA TEAM YA REPUBLICANS? MBEBA POCHI WA HER MAJESTY YOUR ROYAL HIGNESS/ HAPPY MARRIAGE??????????????????? HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!

WELCOME TO THE DEMOCRATS WHERE TRUTH HAS NO TEMPERATURE!

HATA UKIA MBAYA BUT YOU ARE STILL YOUNG AS SHIT! Hahahaaaaaaaaaa!
 
hajajisifia alisema ila mkaanzq kumshambulia ikabidi aseme ailoyoyasema....
Wote tunapitia machafuko mbalimbali,yeye sio wa kwanza na wa mwisho,wote ni wadhambi....shida ni hawa wanakuja kujisifia kuharibu nyumba za watu as if ni jambo la maana wamefanya...wanadiss married people madhaifu yao na jinsi wanavyotake advantage kuhalalisha home wrecking...haiwezekani madhambi ninayofanya nije hapa nianze kuyaglorify kwamba ni sahihi,kama sio ujuha ni nini?
 
Ha ha umepanic....
Kama mie sura imenishuka wewe utakuwa una uharaza wa pusi

Hahahaaaaaaaaaaaaa! KONZI HILO! Imebidi niandike kwenye simu, UHARAZA WA PUSI! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! I dont know what it means but it is FUNNY!
 
Uko sawa kabisaaa lakini mwenyewe kapenda kupata kwa njia hiyo kuna ubaya......
Haaaaaa mshahara wenyeqw kazini 500k kuanza nao mpaka upate 12m kununua gari leo....
Na keshasema yupo anasoma embu mumuwaaacheee
Hapo nilipobold ndo kunashida kidogo, so hapo sasa tukubaliane kwanza kazaliwa familia maskini( kama watu wengine wengi), lakini pia kashidwa kuhimili huo umaskini (kama wasichana wengine wengi) na alikchoamua kufanya ni kuuza k(papuchi) ili aweze kukabiliana na huo umaskini..kwa hiyo yeye ni muuza k ila anauza kisomi sio kama wale wa buguruni wa baribarani...hatuwezi kumkatza maana wala hatumjuai ila kwa kuwa ameleta hapa na anabrag as if ni kitu cha kawaida na sisi tupo jf ndo tumefikia hapa sasa kwamba si kitu cha kawaida na wala sio njia ambayo inatakiwa ifuate ya kutatuta umaskini..angekubali tu kwamba anauza mwili(kisomi) wala huo mtanange na nyumba kubwa usingefika huko...
 
Wewe mbibi embu tulia kwanza dose uliyopewa ikuingie dozi yangu hutoiweza.....
Very old and single last born 6 yrs sipati picha wa kwanza(uwiiiii naogopa laana mie kumtukana mamangu)
Kwi kwi kwi...

Kumbe na wewe umeshamuona hatabiriki, aaminiki...

Huku yupo
Kule yupo

Na hatutaki wasaliti kwenye team yetu mpya siye...

Tumewapa ... mchukueni buuuree...

Serious tena sitaki kukutolea maneeeno machafu zaidi ya hapo....
 
Wewe mbibi embu tulia kwanza dose uliyopewa ikuingie dozi yangu hutoiweza.....
Very old and single last born 6 yrs sipati picha wa kwanza(uwiiiii naogopa laana mie kumtukana mamangu)

Serious tena sitaki kukutolea maneeeno machafu zaidi ya hapo....

Hapo mwenyewe ndio unajisifiaaaa kuwa umenitukana...

Kachukue kozi upya...

Nenda manzese simama masaa 3 afu rudi tena...

Mimi mtoto wa mjini hayo si matusi kabisa kwangu...

Jaribu tena...
 
Haaaaaa miss neddy next time swali la mume wa mtu lisiwepo au hata ukiulizwa sidhani kama jibu honest litakuepo.. hasa baada ya attack ya leo.

But this is really Hot Talk haichoshi kufatilia
 
Last edited by a moderator:
hawa si watoto ni watu wazima wanaoishi maisha ya kuigiza akina wema sepetu

Nimecheka kweli...yule Angelita anasema "nimeagiziwa gari linakuja" as if ni sifa sana kumtegemea binadamu mwenzako mwenye akili kama wewe akupe maisha,halafu anajiaifia publicly over the internet....yaani hii mentality bana...respect ata earn wapi kama capable human being?.....hiyo si issue,ametumia k yake,akiitwa p.ussy seller anaanza kulia....kama ulivyosema idol wao ni wema sepetu,i concur 100%.
 
Hahahaaaaaaaaaaaaa! KONZI HILO! Imebidi niandike kwenye simu, UHARAZA WA PUSI! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! I dont know what it means but it is FUNNY!

Ina maana pussy imeshaota sugu...
Hanyoi tena ana upara....
Bibi anayeandaliwa file lake la mafao anataka ligi na watoto wa miaka 23......
 
Ina maana pussy imeshaota sugu...
Hanyoi tena ana upara....
Bibi anayeandaliwa file lake la mafao anataka ligi na watoto wa miaka 23......

Bado bado...

Nimekwambia nenda manzese...
Kama huna nauli ni PM namba yako ya simu nikurushie ...
 
Back
Top Bottom