MMU hot talk

MMU hot talk

Sawa kabisa ulishafika 24/25 ni mda sahihi wakuwa na watu serious...
Umeshachuma visent vyako kiwanja unacho mkoko unaooo(wasitake kukua umevipataje lol) naaa una kazi yako aaaa kabisaaaa unapata single mwenzako mnaunganisha status mnakuwa engaged mna spend life kama kuoana sawa hata msipooana kuwa na mtu kujulikana wewe ni mmliki halali si mbaya....
Mimi nimekuelewa sana.....
Maisha haya ni target bana......
Na hakuna formula....japo watu wanalazimisha formula...

Dada Amu...huo ni uuzaji P.ussy one on one...kwanini hawakubali kwamba wanafanyabiashara kama wengine?...kwanini wanakua hypocritical ivo?Ukimuita "muuza k" anapaniki kinoma wakati ni true...m.aafaka man up,sell that coochie get money,yanini kujifaragua?
 
Haya "muuza P",taja kwa 3 years umepata nini na nini...haya tunaanza 1....2....3.....

Usije chekesha umma buree...hebu tuache haya jamani ni aibu ujue
Jamani mumuache khaaaa kwani yeye ndo wakwanza??
Ndio haijakaa poa ila si kufikia kumwambia hivyooooo.
Na kashasema atamuacha akisha acomplish her missions probably 3 months from now(nkipiga mahesabu kama gari kaagiziwa this week).
 
Jamani mumuache khaaaa kwani yeye ndo wakwanza??
Ndio haijakaa poa ila si kufikia kumwambia hivyooooo.
Na kashasema atamuacha akisha acomplish her missions probably 3 months from now(nkipiga mahesabu kama gari kaagiziwa this week).

Achana naye huyo nishamuignore kitambo, anajitahidi kuniquote na kujiongelesha mwenzie wala napeperusha Bendera, kuna watu wanastress zao wanatafuta kwa kutolea.
 
Dada Amu...huo ni uuzaji P.ussy one on one...kwanini hawakubali kwamba wanafanyabiashara kama wengine?...kwanini wanakua hypocritical ivo?Ukimuita "muuza k" anapaniki kinoma wakati ni true...m.aafaka man up,sell that coochie get money,yanini kujifaragua?

Sijui kwa nini wanalikataa hilo...yaani wanauza k..ila wameipa jina tofauti ti lakini ni kuuza k...na ni kwasababu mtu kashidwa kupambana na umaskini au kashidwa kuvumilia umaskini wa kwao...elimu tu ndo inawasaidia wasisimame baribarani
 
Jamani mumuache khaaaa kwani yeye ndo wakwanza??
Ndio haijakaa poa ila si kufikia kumwambia hivyooooo.
Na kashasema atamuacha akisha acomplish her missions probably 3 months from now(nkipiga mahesabu kama gari kaagiziwa this week).

Achana naye huyo nishamuignore kitambo, anajitahidi kuniquote na kujiongelesha mwenzie wala napeperusha Bendera, kuna watu wanastress zao wanatafuta kwakutolea.
 
Nasubiri ile gari iliyoagizwa itue na kadi niwe nayo mkononi ndo nimfungulie kamba, siwajua maisha nipe nikupe.

Gari si utafute ya kwako kama wanawake wengine...mbona wenzako wanajituma wanapata hayo magari..? fanya kazi utafute ukikosa basi..unafikiri wewe ndo wa kwanza kuzaliwa maskini..?
 
amu, hebu jaribu kumsimulia babu kinachoendelea hapa...lol!!
 
Last edited by a moderator:
mbona jukwaa la kazi kuna dada na kaka zangu wana uhitaji hata ya kujitolea ungewapa wao hio opportunity

Huyu ndo ana uhitaji mkubwa wa kazi. Anawanyima watoto haki Yao ya msingi ya kuishi kwa kunyonya kidogo alichonacho huyo zoba. nyumba kubwa hebu mtafutie kazi, lakini kwa akili yale ilivyojaa maji atakataa kifanya kazi..!
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndo ana uhitaji mkubwa wa kazi. Anawanyima watoto haki Yao ya msingi ya kuishi kwa kunyonya kidogo alichonacho huyo zoba. nyumba kubwa hebu mtafutie kazi, lakini kwa akili yale ilivyojaa maji atakataa kifanya kazi..!

kazi anayo serikalini kama ana nia ya kusaidia aende kwa wanaohitaji it is free country mwacheni na maisha yake
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndo ana uhitaji mkubwa wa kazi. Anawanyima watoto haki Yao ya msingi ya kuishi kwa kunyonya kidogo alichonacho huyo zoba. nyumba kubwa hebu mtafutie kazi, lakini kwa akili yale ilivyojaa maji atakataa kifanya kazi..!

Nadhani yeye ndo anaitaji iyo Kazi kukuza kipato chake kulea hao watoto wake wasio kuwa na baba.... Hahahahaaaa sasa najua kwann watu walikuja hapa kumbe ni waathirika wa hili janga hahahahaaaaa, mwambie aje na ID yake original hahahahaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
angelita...since umeruhusu maswali ya 'aina zote', kwa huduma unazopata toka kwa huyo zoba.....demand ya mchezo wa 'nyuma' ulimtimizia?..coz hadi kujengewa nna uhakika hawezi kubali utoke 'hivi hivi'...!
 
Last edited by a moderator:
Gari si utafute ya kwako kama wanawake wengine...mbona wenzako wanajituma wanapata hayo magari..? fanya kazi utafute ukikosa basi..unafikiri wewe ndo wa kwanza kuzaliwa maskini..?

Ndugu ngoma ina yenyewe usijifanye mjuaji wenzako wengi wamejiweka pembeni wanasoma mchezo.
Tuliza kengere zako usitupigie kelele.
 
Gari si utafute ya kwako kama wanawake wengine...mbona wenzako wanajituma wanapata hayo magari..? fanya kazi utafute ukikosa basi..unafikiri wewe ndo wa kwanza kuzaliwa maskini..?
Sasa hapo ndo unakosea kaliwa 3 yrs atoke kavu hapana kwa kweli tumvumilie tu apate gari na msingi wa nyumba keshaupata ataimalizia mwenywewe.
Ataondokaje na kitu keshaagiziwa mkoko...
Miezi 3 si mingi....
Bora atoke na faida kuliko atoke bila faida...
Kosa lilishafanyika miaka 3 iliyopita imebakia miezi 3 afunge mkataba.
 
Ndugu ngoma ina yenyewe usijifanye mjuaji wenzako wengi wamejiweka pembeni wanasoma mchezo.
Tuliza kengere zako usitupigie kelele.

Kiddo ENOUGH IS ENOUGH LETS GO, ACHANA NA GRANNYS WHO DONT HAVE FAMILLY TIME DAY N NIGHT THROWING DAGGERS AT THEIR YOUNGY! Ushasasambua vya kutosha! THERE WILL ALWAYS BE ANOTHER WAR TO FIGHT! Achana na BIBI LA BIBI kanywe wine na wasichana Wa umri wako. Ondoka saivi kabla wakubwa zako hawajavua nguo kukulaani rasmi! Hahaahaaaa!

LONG LIVE DEMOCRATS! IJUMAA IJAYO KAMA KAWAIDA HOT TALT MISS NEDDY MAKE IT HAPPEN!
 
angelita...since umeruhusu maswali ya 'aina zote', kwa huduma unazopata toka kwa huyo zoba.....demand ya mchezo wa 'nyuma' ulimtimizia?..coz hadi kujengewa nna uhakika hawezi kubali utoke 'hivi hivi'...!

Hahahahaaaaaa Eli79 nimecheka kwa masikitiko mana sikutegemea kusikia hizo habari toka kwako, naona umeamua kujivua heshima mwenyewe sijui wakubwa wenzio wanaosoma hiki ulichouliza sijui wanakuchukuliaje.

Kama wewe mchafu usidhani wanaume wote mafirauni kama wewe, na inavyoonyesha ndio tabia yako.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani yeye ndo anaitaji iyo Kazi kukuza kipato chake kulea hao watoto wake wasio kuwa na baba.... Hahahahaaaa sasa najua kwann watu walikuja hapa kumbe ni waathirika wa hili janga hahahahaaaaa, mwambie aje na ID yake original hahahahaaaaa.
Kama anazo nyingi atakuwa amekisikia.
 
Back
Top Bottom