MMU hot talk

MMU hot talk

ile ilikuwa QUOTE manake inamjibu MTU SPECIFIC! Afu ligi uliinza vizuri saivi umeshuka kiwango! Ngoja nimuanze Eiyer maana sio mwepesi yule, nilikuwa namlia mark time!

Unapenda fujo mama...
 
Last edited by a moderator:
Naona mada imekuwa personal attacks.
Kimsingi angelita anaishi maisha ya umri wake ila si sahihi.
Na so called granny mumuwache kama kukuambia mmeshammwambia kasisikia ikifika kipindi mwenyewe ataamua atatulia na vizuri kuna sehemu alisema itafika kipindi Mungu atampa wa kwake ataolewa.
Hizo personal attacks sijazipenda.

Hapo kwenye bold naona una justify maovu...
Hayo ndio maisha ya 20s?
We have been there too...
Sikubali kuwa 20s wote ni vimada...
Watake radhi

Kujirusha tumejirusha sana..
Lakini si na waume za watu...
Na hili sasa mnataka kulifanya kuwa ni halali...
Wanafunzi wa chuo kushindania wanaume za watu...

Nakubali tulisoma na waliodata...
Lakini hawakuwa wengi na walikuwa wanaonekana ni kituko...
These days mnataka kufanya kuwa ni utaratibu wa maisha...

Noooo...lazima tukemee
 
ile ilikuwa QUOTE manake inamjibu MTU SPECIFIC! Afu ligi uliinza vizuri saivi umeshuka kiwango! Ngoja nimuanze Eiyer maana sio mwepesi yule, nilikuwa namlia mark time!

Yaani wee ulishashuka kiwango kitambo kwa kupenda personal attacks bila objectivity...ukiguswa emotions kidogo unakimbilia matusi...halafu caps za kwenda wapi?u kno what it means using caps all over?
 
Last edited by a moderator:
Good to get back on line!

AND NOOOOOOOOOOOOOO! I WANNA BE SINGLE AS LONG AS NECESSARY SO THAT I GET TO PLAY ON BOTH SIDES, BE CAPTAIN OF BOTH TEAMS THE MBA TEAM, AND THE BACHELORS TEAM! NOT TO MENTION GET AWAY WITH IT:A S wink::A S wink::A S wink: SORRY TO DISAPPOINT YOU BUT I AM FINE WHERE I AM RIGHT NOW.

....have mercy on that ''thing''.it will deteriorate........
 
Yaani wee ulishashuka kiwango kitambo kwa kupenda personal attacks bila objectivity...ukiguswa emotions kidogo unakimbilia matusi...halafu caps za kwenda wapi?u kno what it means using caps all over?

CAPS IS MY TRADE MARK TOKA NAANZA JF! Hio ni BRAND yangu! Fatilia mwanzo mwisho PERSONAL ATTACK WATU WANAANZISHA UKIWAPA KUBWA WANAANZA KUJI VICTIMISE, WE FATILIA KOTE NANI ALIANZISHA PERSONAL BIOGRAPHY!?

mimi formation yangu napambana unavokuja ndo najua cha kukupa! Enough of small talk! Time for me to FOCUS!
 
....have mercy on that ''thing''.it will deteriorate........

hAHAHAAAAAAAAAAAAAA! good to see again FIELD MARSHAL!

Naona umerudi ki personal attack anazopigia kelele Amu! Hahahaaaaaa!

BTW SI KILA MTU ANA YAKE JAMANI? SASA IWEJE YA MWENZIO IKUUME?
 
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! DOGO CONCENTRATE ON WINNING THIS WAR! Format zinabadilika badilika za mchezo! WATCH AND LEARN! Humu JF nimepambana na nimeshinda battle nyingi sanaa, we are definately not going to lose this one. TOKA JUZI COUNTLESS FIGHTERS INCLUDING Commerade FIELD MARSHAL Tyta wamenawa, but we still rolling! HIO INAITWA REVERSE PSYCHOLOGY! Na silaha za kinyuklia YOU SAVE THEM FOR LAST! HAHAHAAAAAAAAAAA!

WATCH AND LEARN!

i`ll be back...no retreat here...we spit the whole truth....its a war indeed......against all the menaces to society...
 
CAPS IS MY TRADE MARK TOKA NAANZA JF! Hio ni BRAND yangu! Fatilia mwanzo mwisho PERSONAL ATTACK WATU WANAANZISHA UKIWAPA KUBWA WANAANZA KUJI VICTIMISE, WE FATILIA KOTE NANI ALIANZISHA PERSONAL BIOGRAPHY!?

mimi formation yangu napambana unavokuja ndo najua cha kukupa! Enough of small talk! Time for me to FOCUS!

Sasa unapambana kwenye internet?It is a fu.c.ken internet...unapambana na fake people with fake IDs?So what?Don get high with your own supply....
 
Hahaha am waiting......

Mi nangoja vita IGEUKE ISIS nishaanda LINK za baadhi ya MAKUHANI WAKUU QUOTE ZAO ZA NYUMA WAKIUNGA MKONO MICHEPUKO! live bila chengaaaa! Lakini leo WASHASAHU KABISAAAA! nIMEKUSANYA VI LINK HATARI! LIKE I SAID I SAVE THE BEST WEAPONS OF MASS DESTRUCTION FOR LAST! :hungry::hungry::hungry::hungry::hungry::hungry:
 
CAPS IS MY TRADE MARK TOKA NAANZA JF! Hio ni BRAND yangu! Fatilia mwanzo mwisho PERSONAL ATTACK WATU WANAANZISHA UKIWAPA KUBWA WANAANZA KUJI VICTIMISE, WE FATILIA KOTE NANI ALIANZISHA PERSONAL BIOGRAPHY!?

mimi formation yangu napambana unavokuja ndo najua cha kukupa! Enough of small talk! Time for me to FOCUS!

Halafu caps ni kupayuka,it is a lame trademark...although it is a trademark of your choice!!!!easy
 
Sasa unapambana kwenye internet?It is a fu.c.ken internet...unapambana na fake people with fake IDs?So what?Don get high with your own supply....

arent you forgetting somethin??????????? MY ID IS FAKE TOOOOOOO! ITS A FAKE WAR! BUT WAR IS WAR! And i am not planning on losing this one too! I WOULD LOVE TO KEEP UP THE CHATTIN BUT I HAVE PRESSING MATTERS TO ATTEND! Cio!
 
Hapo kwenye bold naona una justify maovu...
Hayo ndio maisha ya 20s?
We have been there too...
Sikubali kuwa 20s wote ni vimada...
Watake radhi

Kujirusha tumejirusha sana..
Lakini si na waume za watu...
Na hili sasa mnataka kulifanya kuwa ni halali...
Wanafunzi wa chuo kushindania wanaume za watu...

Nakubali tulisoma na waliodata...
Lakini hawakuwa wengi na walikuwa wanaonekana ni kituko...
These days mnataka kufanya kuwa ni utaratibu wa maisha...

Noooo...lazima tukemee

Hahahahaaaaaaaaa..... Haya maisha tu kila Mtu ana siri na ukweli wake moyoni, ya kwako hayawezi kufanana na yule kila mtu anasitaili yake yakuyaendesha.

Usitake kulazimisha kumbadili mtu mtazamo kisa tu wewe unaamini kitu Fulani.
Kubadilika ama kuacha ni maamuzi ya muhusika mwenyewe kuridhia kwamba sasa sitaki kufanya au kitu Fulani sikitaki.

Usitumie nguvu nyingi kutaka kusikika ila naimani kuna watu comment zako zimewasaidia ingawa sina hakika ulivyoviandika hapa na kiuhalisia uko hivyo au nyuma ya keyboard tu.
 
i`ll be back...no retreat here...we spit the whole truth....its a war indeed......against all the menaces to society...

Hahahaaaaaaaaaa! BE MY GUEST FIELD MARSHAL! BE MY GUEST! Fair well Comrade!
 
hAHAHAAAAAAAAAAAAAA! good to see again FIELD MARSHAL!

Naona umerudi ki personal attack anazopigia kelele Amu! Hahahaaaaaa!

BTW SI KILA MTU ANA YAKE JAMANI? SASA IWEJE YA MWENZIO IKUUME?

it was just a by the way....ok the foot soldier... but you know the whole truth....this is the highest degree of selfishness.....moneysake ,...moneysake....and who is targeted...the poor married man....so shameless
 
Back
Top Bottom