Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Kinachoendelea mwambie mtu mzima mwenzako asirudi hapa nyumba kubwa.
Maana nasikitika kuona anatukanwa na wadogo zangu.
Mimi naona kama hadithi hadithi za watoto....
Kuna ubaya gani watoto kucheza na kuchafuka ili wajifunze.....?
Seriously, sioni ubaya wowote hadi nilipoishia ukurasa wa 12....
Labda kwa sababu nilistaafu baada ya kupitia battle fields za kutosha...lol!!
Muendelee salama!
Babu DC!!