MMU hot talk

MMU hot talk

Hata kama ningekataa Mimi angetafuta mwingine bado haisaidii kitu, maisha hayako sawa wakati mwingine, kama mwanamke pia najua inaumiza.

Then there must be an alternative miss angelita. Kama kweli unaumia, na nimependa uwezo wako wa kuwa wazi kwenye jamii...lakini kama unaona mwenzako nae anaumia, japo hawezi kukuambia..there's always another alternative..!
 
Last edited by a moderator:
aliyekwambia nadestroy familia ya mtu nani???? Nyie ndo mnaojifanya watakatifu nyuma ya keyboard i know what m doing bora mimi nimeongea ukweli wangu ili wengine wapate somo kupitia hadithi yangu.

anhaaaa ....ok...!!
 
angelita
but mkewe sara si ndio alimshauri ibrahimu afanye hivo baada ya kuona miaka imeenda hajapata mtoto???? so sara aliridhia hilo...back to you huyo mkewe ana tatizo lolote na ameridhia????
 
Last edited by a moderator:
angelita aisee!!..mi naenda kumtaarifu mkewe....(usiniulize nimewafahamuje)

miss neddy utapata mrejesho......

Hahahahaaaa Mkuu Mimi najulikana aiseeh mke anatambua uwepo wangu, hata jamaa akitaka kutoka anaulizwa "utakuwa na Angelita au mwingine, ole udanganye nampigia Simu kumuuliza" si mke tu watoto na ndugu wa jamaa.
 
Mimi ni msomaji mzuri wa biblia naijua kuliko ufikiriavyo, biblia haijakataza ndoa za mitala ila dini ndo zinakataza.
Nakuoa au kuolewa mitala sio dhambi rudi kasome vizuri agano la kale hadithi ya baba wa Imani Ibrahimu aliowa wake wangapi, nasio huyo tu mfalme Daudi vipi kuhusu mfalme Suleiman Mwenye hekima kuliko wote???? Wako wengi sana hao niwachache tu
Tunaishi kwakufuata dini sio biblia.
Afu bado sina dhambi nalisamehewa hata kabla sijazaliwa (Yohana 14) dhambi zangu zilijulikana kabla misingi ya dunia kuumbwa ndomana mwanae wa pekee alikufa kwa ajili yangu.

Okey...kumbe naongea na mtakatifu sikujua nlidhani naongea na mwenye dhambi mwenzangu...but mi nimerefer post yako niliyokuquote.
 
but mkewe sara si ndio alimshauri ibrahimu afanye hivo baada ya kuona miaka imeenda hajapata mtoto???? so sara aliridhia hilo...back to you huyo mkewe ana tatizo lolote na ameridhia????

Amekwambia ameridhia wanapigiana hadi simu lol
 
Hapana miss. Sijadhani kitu, ni mjadala ulifikia mwisho ndo maana nikasema good luck. Siwezi kukuhukumu MankaM coz hata mie nina yangu yamejaa debe hapa..ni kukbushana tu..

Ofcoz tunabadilika kutokana na topic yenyewe na mawazo unayokuwa nayo kwa wakati huo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukiwa muongo usiwe msahaulifu, rudi page ya 6 kama sajakosea kwenye comment yako ulisema kwa kua ww ni muislam dini inaruhusu, na nyengine ukasema mke wa pili n sunna kwa hiyo kwako haisumbui, na comment hii kama unatudanganya mkuu

cc: miss neddy, lara 1

Mkuu soma vizuri nilisema dini yake inaruhusu mke wa pili suna. Yeye sio Mimi.
 
Last edited by a moderator:
huu mjadala mzuri ndio funga mwaka, anayoyafanya na anayoendelea kuyafanya sio mageni kwetu, ila tunahukumu huku tukisubiri jioni kuyafanya, wewe mwenye macho makavu jiangalie ni mara ngapi mwanamke mrembo unapopita mbele yake unamuwazia kingono ngono? ukipewa nafasi wakati uko njema unaweza kuacha?
 
Ni fasheni kwa wasiojielewa mshenga...sorry kama ntamkwaza mtu lakini maisha ni jinsi mtu anavyoamua kuishi mwenyewe....mara nyingi tunajisahau kila tulifanyalo hapa duniani lina malipo

Hahahahaaaaaaa...hilo la juu wacha nifanye kama sijaona.
Nikweli malipo duniani mahesabu kwa Mungu.
 
Angalieni msifanye wema machoni mwa wati, kusudi kwamba mkatazamwe nao kwa matendo yenu.... jueni kwamba hamtapata thawabu kwa mungu.....

My dear kuna watu wanajifanya watakatifu nyuma ya keyboard wakati maisha yao yamejaa uozo zaidi ya huu wanaodai hapa.
 
Khantwe, sababu za kuumiza zipo na zinachukua nafasi kubwa tu. Huwezi jua hao wawili wamepitia visamga gani hadi huyo mume akawa hivyo alivyo, they worked hard for goodness sake. Yawezekana kuna kipindi watu wameshindia chai au uji ilimradi familia iwe na future nzuri, watu wamepitia magumu na ndoa zao. Leo mtu anajichekesha ati kumanua na mme/mke wa mtu is the best thing that could happen?

Kuna siku MMU member tuliitwa MAZIMWI baada ya innocent girl fulani kuleta uzi na kuomba ushauri....jamaa kwa huruma ..akamwambia yaani ndio umeleta uzi kwa haya mazimwi yakushauri?

Nilikuja juu sana kwa kauli ile.....Lakini kila kukicha naona kuna ka ukweli. Japo si wengi.
 
Last edited by a moderator:
Tyta

I get it you want to help! BUT OOOPPPPSSS! YOU CANT! ofcourse it beyond human kind! Sala zote anazosali mke YET THE HUBBY STILL HAVE HOTTIES FOR ANOTHER GIRL! Its preposterous!

Call me superstitious, but it is what it is! THE HEAVENS AINT SMILING TO THE WIFE NO MORE! AND THERE IS NOTHING YOU OR ME CAN DO ABOUT IT!
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaaa mkuu mimi najulikana aiseeh mke anatambua uwepo wangu, hata jamaa akitaka kutoka anaulizwa "utakuwa na angelita au mwingine, ole udanganye nampigia simu kumuuliza" si mke tu watoto na ndugu wa jamaa.

naona ile voda yake haipatikani...nipm kama una no yake nyingine.....(this is serious)
 
Kuna siku MMU member tuliitwa MAZIMWI baada ya innocent girl fulani kuleta uzi na kuomba ushauri....jamaa kwa huruma ..akamwambia yaani ndio umeleta uzi kwa haya mazimwi yakushauri? Nilikuja juu sana kwa kauli ile.....Lakini kila kukicha naona kuna ka ukweli. Japo si wengi.

1st AID....kwa nini umesema hivyo??
 
Last edited by a moderator:
My dear kuna watu wanajifanya watakatifu nyuma ya keyboard wakati maisha yao yamejaa uozo zaidi ya huu wanaodai hapa.

kUNA MBINU NYINGI ZA KUWINDA! Hahahaaaaaaaaaa! HIO INAITWA SIMBA MWENDA POLE NDO MLA NYAMA! A.K.A WALETEEEEEEEEEEEE! Hapo watu wanaingiaje KINGI!

Wimbo wa KKT kwaya UMEJIVALIA NGOZI YA KONDOO MEEEEEEE, KUMBE NDANI NI MWA MWITU UWABURUDISHE HUKO MLIKO!
 
naona ile voda yake haipatikani...nipm kama una no yake nyingine.....(this is serious)

Hahahaaaaaaaaaaa! Wimbo wa mzee Ysufu KUCHEZEWA MUME WANGU NASEMAAAAAA NIMEKUBALI ukuburudishe! Ama sivo kama bi mkuludawa hataki AJIKATE! Her time is officially over! EXIT CERFICATE IMESOGEZWA KWENYE FOLLEN YA MHURI!
 
Wadada wa cku hizi unatembea na mume wa mtu halaf ur proud of it...njaa kitu kibaya sana.

Unaelewa maana ya kuanzishwa thread iii????? Au unakurupukia sasa ulitaka nidanganye alafu iweje??? Nijifanye mtakatifu wakati sio, hapa kwenyewe wako kibao wanaotembea na waume na wake za watu ila wanajifanya wema.
Afu usiishi kwa kukariri sio kila anayetembea na mume wa MTU ninjaa.
 
Back
Top Bottom