supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,451
- 10,933
Nakwenda kutia nywele zangu maji, nimemuona mwenzangu ananyolewa
Yep. Watoto wa mjini/geti kali mnashangaa chawa eeh? Kwa wengine kawaida tu na mapito ya maisha. Leo zimebakia historia. Na siku nikipata watoto nadhani watafikiri ni hadithi baba yao natunga . Maisha!Hahaha chawa tena
Nakumbuka kipindi fulani (pengine darasa la pili au la tatu hivi) nilikuwa na tatizo la chawa basi kunyolewa na walimu wa zamu hata viranja ilikuwa ni kawaida tu. Ila hii ya kupandiwa mabegani aisee hii ni mpya. Si ajabu Mshana Jr anahusika hapa!
Tz kubwa sana, na wengi hata hawaijui. Wanaongea na kuhoji na kutoa mapendekezo mengimengi wakidhani Tz ni Dar tu na Simiyu au Ifakara au hata vimiji kama Lugoba, Meatu, Kasulu na Turiani ndo vijiji vyenyewe vya Tz ambako maskini huishi huko. Hawajui siku ya kwanza mtu kutoka mbwinde (ndanindani sana) alipofika Chalinze akajua ndo Dar es Salam.Huwa nacheka sana, naskia kuna mzee alienda Tandale sokoni na bintiye asomaye USA tangu utoto wake, eti alilia kumuona mtu kabeba Lumbesa, alidhani atakufa.Yep. Watoto wa mjini/geti kali mnashangaa chawa eeh? Kwa wengine kawaida tu na mapito ya maisha. Leo zimebakia historia. Na siku nikipata watoto nadhani watafikiri ni hadithi baba yao natunga . Maisha!
Hebu rudisha ile Avatar ya mwanzo nimeipenda bure, hivi yule ni ww?
HahahaNakwenda kutia nywele zangu maji, nimemuona mwenzangu ananyolewa
Hahaha dahHapo after school bash imepita nimemuona hadi clouds TV akikata mauno alafu report ya shule imekuja kashika nafasi ya 857 kati ya wanafunzi 859, nitakinyoa hicho kiduku kwa style hiyo.
So creativeJamaa anajaribu kuwa Mgunduzi zaidi ili aongeze wateja wake, maana huu ni wakati wa Dijitali hivyo ameamua kuhama kutoka analojia.
Yep. Watoto wa mjini/geti kali mnashangaa chawa eeh? Kwa wengine kawaida tu na mapito ya maisha. Leo zimebakia historia. Na siku nikipata watoto nadhani watafikiri ni hadithi baba yao natunga . Maisha!
Hahaha dah afe kwa kubeba lumbesa akat watu wanabeba zegeTz kubwa sana, na wengi hata hawaijui. Wanaongea na kuhoji na kutoa mapendekezo mengimengi wakidhani Tz ni Dar tu na Simiyu au Ifakara au hata vimiji kama Lugoba, Meatu, Kasulu na Turiani ndo vijiji vyenyewe vya Tz ambako maskini huishi huko. Hawajui siku ya kwanza mtu kutoka mbwinde (ndanindani sana) alipofika Chalinze akajua ndo Dar es Salam.Huwa nacheka sana, naskia kuna mzee alienda Tandale sokoni na bintiye asomaye USA tangu utoto wake, eti alilia kumuona mtu kabeba Lumbesa, alidhani atakufa.
Hahaha avatar ndo iyoiyo cjabadilisha mbonaHebu rudisha ile Avatar ya mwanzo nimeipenda bure, hivi yule ni ww?
Inabidi tuchunguzeSasa Huyo ni kinyoziiii.au mganga wa kienyeji?
Kwa mtindo huo atakaa mpk uchiDuuu sasa huyo ndo angekuwa camera man sipati picha
Yep. Watoto wa mjini/geti kali mnashangaa chawa eeh? Kwa wengine kawaida tu na mapito ya maisha. Leo zimebakia historia. Na siku nikipata watoto nadhani watafikiri ni hadithi baba yao natunga . Maisha!