Mmh!!

Hahaha dah afe kwa kubeba lumbesa akat watu wanabeba zege
Kuna watz hapahapa hawajui kama kuna watanzania wanapitia maisha hayo, wanadhani ni stori tu za kupitisha siku. Ndo mana kuna watu wako mstari wa mbele kupigania haki za binadamu za kizazi cha kwanza badala ya kizazi cha pili.
 
Ha ha ha, enzi zile tulikuwa na utaratibu wetu wa kutoana chawa kichwani, nikikutoa moja nakupiga konzi moja, nikiua mayai 2 nakupiga konzi moja.

Na ilikuwa ni lazima ukubali, hutaki hakuna kucheza na wenzio, baki nyumbani au hakikisha umenyolewa na huna chawa.
Enzi iyo inaelekea chawa walisumbua sana teh
 
Enzi iyo inaelekea chawa walisumbua sana teh

Siku hizi watu hawajui hata chawa anafananaje, wa kichwani au wa kwenye nguo.

BTW, mimi mwenyewe nina zaidi ya miaka 20 sijaona chawa wala funza, sijui hawa wadudu wameenda wapi.
 
Siku hizi watu hawajui hata chawa anafananaje, wa kichwani au wa kwenye nguo.

BTW, mimi mwenyewe nina zaidi ya miaka 20 sijaona chawa wala funza, sijui hawa wadudu wameenda wapi.
Labda species zao zmepotea
 
Nakumbuka kipindi fulani (pengine darasa la pili au la tatu hivi) nilikuwa na tatizo la chawa basi kunyolewa na walimu wa zamu hata viranja ilikuwa ni kawaida tu. Ila hii ya kupandiwa mabegani aisee hii ni mpya. Si ajabu Mshana Jr anahusika hapa!
ahahahahahahaha duh
 
Ha ha ha, enzi zile tulikuwa na utaratibu wetu wa kutoana chawa kichwani, nikikutoa moja nakupiga konzi moja, nikiua mayai 2 nakupiga konzi moja.

Na ilikuwa ni lazima ukubali, hutaki hakuna kucheza na wenzio, baki nyumbani au hakikisha umenyolewa na huna chawa.
Raha sana enzi zile mkuu. Dah!
 
Back
Top Bottom