"Mwanakijiji kila siku anaandika lakini bado tuko pale pale"
Unamshambulia mtu ambae hayumo katika mabishano yako, unanunua tafrani. Mwenzio anaweza kuwa anaona kuandika kwake kunachangia maendeleo kwa kiasi fulani, au ni kazi yake ya mkate wa kila siku, wewe unabeza. Mwanakijiji ambae haishi kukutetea mpaka hata ulipotaka kuenguliwa na kamati za CHADEMA. Halafu unampiga madongo ya chini chini. Regia, kuwa mwangalifu kidogo.
Sema wewe kiazi. Mimi nikisema huu muhogo jama, unasema nina mzizi.
Hili nishalisema mara lukuki, no tact, no exposure, no strategy, no method, no priority, you name it.
Halafu huyu anataka kwenda bungeni huyu hajui hata kujenga alliances, anakwenda vitani anaanza kuwapiga risasi wanajeshi wa jeshi lake mwenyewe, bila sababu, huyu mtu ana akili kweli huyu?
Jamani mnaona ninachosema hapa? Mnanielewa ninaposema kwamba huyu bibie ana udhaifu katika kupangilia mawazo yake ? Kwamba kimsingi ana matatizo yaliyo so fundamental kiasi kwamba akienda bungeni atakuwa more of a liability than an asset, mnaona mambo haya ?
And this is not an incident, it is an established pattern. Kuna siku kawatukana "wabeba maboksi" hapa, basically Watanzania wote wa diaspora wanakuwa described kwa jina hili, watu ambao kuna wengi tu walikuwa wana m support. Siku nyingine kawa lambast wanachama wenzake wa CHADEMA wazi wazi hapa, Kitila, Mnyika na Tundu Lissu, in a very unnecessary and tactless post (mpaka yeye mwenyewe akaitoa). Bahati tu hawa watu either hawakuiona post au kama wameiona wamekuwa waungwana na kuachia mambo yaishe tu, je akikutana na vichwa ngumu wasiokubali mambo yaishe kirahisi? Si ataleta vita isiyo sababu huyu? Leo tena anakuja kumu alienate Mwanakijiji kwamba anachoandika Mwanakijiji si lolote si chochote, yaani huyu ana tabia ya kudharau sana watu.
Halafu ananisema sina uwezo wa kumfikia yeye, inaonekana yeye ndiye anakuwa gaffe machine na kujipaka controversy kila mara anapoandika kitu hapa bila hata kujua, kwa sababu she is a birdbrained boondocks bred bargain bilharzia type of social climbing, fame imbibing, fantasy cultivating no good airhead.
And we don't want that kind in parliament, don't say I didn't warn you.