Mmepotea ghafla, mmeenda wapi?

Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol

Triple N
Nikusaidie ?
 
Nimegundua ni bora watu wawepo hata kama mnagombana na kutofautiana.
Tulikuwa hapa wote tunabishana bishana jioni hii, ghafla siwaoni
Imekuwa kama vile watu wanaoishi nyumba moja halafu wanaamua kumtoroka mwenzao
sasa mie nipige story na nani?

Rudini bwana tuendelee na hizi porojo

Dahhh
Kunawengine wanaishi overseas mamake .
Mida yao haiendani ..
 
Nafurahi vile wewe hutegemei kompyuta ya ofisi, mie sahizi nngekuwa napiga story na nani?
Ofisi zinawabeba sana watu wengi hapa JF! Namshukuru mungu nina kichina changu! Muda wote network iko full
 
Na yeye kapiga cha fasta au ni wewe tu? Kama kawaida yenu, mie vitano, mara ooh kumi, kumbe peke ako mwingine hata moja bado.
Na wewe haya mambo uneyajulia wapi? Hebu tupe experience..wewe waenda vingapi!!
 
Ofisi zinawabeba sana watu wengi hapa JF! Namshukuru mungu nina kichina changu! Muda wote network iko full
Hahaha... Umeonae? Ndio maana siku zote jivunie sana ulichonacho manake ni mali yako na kina thamani sana kwako....lol.... Usisahau pia mtegemea cha nduguye...


Alijisemea kiritimba watu ni wezi wa muda wa kazi kidogo anyongwe kwa kuwa mkweli...asikwambie mtu Rejao ukweli unauma we acha tu.
 
Mi nipo nimejaa tele kama pishi la mchele lijaavyo ndani ya sifuri a.
 
Back
Top Bottom