Tupo Kongosho. Au we ulikua unamaanisha kina nani zaidi?
mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe.
Huo ndio ukweli ingawaje unaumaWengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.
Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol
Itakuwa maajabu ya mwaka Nyani kufuga Mbwa..!
Huo ndio ukweli ingawaje unauma
Uache vijembe na wewe..lol!Huo ndio ukweli ingawaje unauma
ha ha ha, sikujui, hunijui
Sio mchokozi kongosho, jaribu kuchunguza kwa makini utagundua kuna watu wapo kuanzia sa 2 asubuhi mpaka 11 jioni, jumatatu mpaka ijumaa. Wakishatoka ofisini huwaoni tena mpaka kesho yake. Mimi nna mpango wa kumwomba NN anitumie laptop kama zawadi ya x'mas...Kumbe na ww mchokozi?
Sijambo kaka/baba mkali.Dada mtamu khabri yako?
Nafurahi vile wewe hutegemei kompyuta ya ofisi, mie sahizi nngekuwa napiga story na nani?Uache vijembe na wewe..lol!
Sijambo kaka/baba mkali.