Mmepotea ghafla, mmeenda wapi?

Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol
Huo ndio ukweli ingawaje unauma
 
Kumbe na ww mchokozi?
Sio mchokozi kongosho, jaribu kuchunguza kwa makini utagundua kuna watu wapo kuanzia sa 2 asubuhi mpaka 11 jioni, jumatatu mpaka ijumaa. Wakishatoka ofisini huwaoni tena mpaka kesho yake. Mimi nna mpango wa kumwomba NN anitumie laptop kama zawadi ya x'mas...
 
Back
Top Bottom