Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Nimegundua ni bora watu wawepo hata kama mnagombana na kutofautiana.
Tulikuwa hapa wote tunabishana bishana jioni hii, ghafla siwaoni
Imekuwa kama vile watu wanaoishi nyumba moja halafu wanaamua kumtoroka mwenzao
sasa mie nipige story na nani?
Rudini bwana tuendelee na hizi porojo
Tulikuwa hapa wote tunabishana bishana jioni hii, ghafla siwaoni
Imekuwa kama vile watu wanaoishi nyumba moja halafu wanaamua kumtoroka mwenzao
sasa mie nipige story na nani?
Rudini bwana tuendelee na hizi porojo