Mmepotea ghafla, mmeenda wapi?

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
Nimegundua ni bora watu wawepo hata kama mnagombana na kutofautiana.
Tulikuwa hapa wote tunabishana bishana jioni hii, ghafla siwaoni
Imekuwa kama vile watu wanaoishi nyumba moja halafu wanaamua kumtoroka mwenzao
sasa mie nipige story na nani?

Rudini bwana tuendelee na hizi porojo
 
Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol
 
Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol

wengine tunabeba magunia, Mbeya wanaita ndwika.
 
Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol
Wajomba wakidamkia sisi hatutakusaidia Oooh shauri yako!.
 
Wengi wanatumia PCs za maofisini. Wakirudi majumbani wenye visimu vyenye intaneti unaweza ukabahatisha kuwaona hapa na pale kama netiweki haisumbui. Kama neti inasumbua basi itabidi uwasubirie hadi kesho yake wakitinga tena ofisini.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol

Ni kwel i networ k sio nzuri
 
Nimegundua ni bora watu wawepo hata kama mnagombana na kutofautiana.
Tulikuwa hapa wote tunabishana bishana jioni hii, ghafla siwaoni
Imekuwa kama vile watu wanaoishi nyumba moja halafu wanaamua kumtoroka mwenzao
sasa mie nipige story na nani?

Rudini bwana tuendelee na hizi porojo
Wewe ndio umepotea..sisi tupo 24/7!
 
Nimependa hiyo faint zaidi.
Kujisifu muhimu, mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe.

Ila kwa akina kama sisi wabeba maboksi tuko online 24/7 365/366. Teh teh teh...ngoja ninyamaze nsije nikaambiwa najidai bure....ingawa nimesema ukweli lol
 
Tunaambizana ya kiongo ongo hamna ya kikweli kweli.

Au wewe hukupitia kombolela, tufanyeni ya kinguo nguo

Ahahahahahaaaaaa umenirudisha mbaaaali sana Kongosho. Ya kinguo nguo nimefanya sana. Nilikuwaga na mchumba wangu mmoja hivi anaitwa Nshoma. Basi kwenye kombolela lazima mimi na yeye tukajifiche pamoja kwenye pagale/ jumba bovu.

Daaaah we ni noumer! You took me down memory lane.
 
Ha ha ha ha, hata humu tunafanya ya kinguo nguo.
Ukifanya ya kikweli kweli kuna watu lazima watakuitia ngariba
Wana hasira sana

Ahahahahahaaaaaa umenirudisha mbaaaali sana Kongosho. Ya kinguo nguo nimefanya sana. Nilikuwaga na mchumba wangu mmoja hivi anaitwa Nshoma. Basi kwenye kombolela lazima mimi na yeye tukajifiche pamoja kwenye pagale/ jumba bovu.

Daaaah we ni noumer! You took me down memory lane.
 
Afu wewe sio nanii kweli maana huyu Nshoma alikuwa anapenda kweli kombolela na kila siku alikuwa anapotea na mtu huyo huyo
Sitaki kabisa tujuane, kama ni wewe!?

Ahahahahahaaaaaa umenirudisha mbaaaali sana Kongosho. Ya kinguo nguo nimefanya sana. Nilikuwaga na mchumba wangu mmoja hivi anaitwa Nshoma. Basi kwenye kombolela lazima mimi na yeye tukajifiche pamoja kwenye pagale/ jumba bovu.

Daaaah we ni noumer! You took me down memory lane.
 
Afu wewe sio nanii kweli maana huyu Nshoma alikuwa anapenda kweli kombolela na kila siku alikuwa anapotea na mtu huyo huyo
Sitaki kabisa tujuane, kama ni wewe!?

Hmmm kwani wewe ndo......? Kama ndo wewe staki kabisa unijue. Hunijui sikujui....lol (rudi kule kwenye uzi wa Lizzy)
 
Back
Top Bottom