Labda ndio mwisho wa dunia unaanzia tanzania,waarabu wakiwa facilitators. Nadhan serikali iko usingizini,wanahitaji kuamshwa. Wananchi tujitokeze wenyewe barabarani tuyazuie haya majeneza yasipite tena. Hatuna haja ya kutangulia kwa Muumba kabla ya wakati wetu.Nakubaliana na wewe,maana serikali imekaa kimya kama hakuna kitu kinaendelea.Wana ogopa maana wakienda kwenye ofisi zao wanaona mwenye bus kapiga picha na mkuu
Na kuna hbr ya basi la Hood kugongana uso kwa uso na lori la Mohamed trans na kisa na mkasa ni kila mmoja alitaka kukwepa moshi kubwa iliyokuwa imetanda barabarani ndani ya hifadhi na majeruhi walio mahututi ni kibao sana.
Wapeleke bajaji zikazime moto
Wapeleke bajaji zikazime moto
teh teh teh.....wewe socket ya point imej-OFF nini?Wapeleke bajaji zikazime moto