Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

tuwapa pole wahanga kama ni kweli
Ni kweli ITV wametoa breaking news. Yamegongana na kushika moto uliounguza magari mengine pia. Wanadai chanzo ni moto uliowashwa na watu wa TANAPA uliosababisha. Mtoa habari anadai ameshuhudia maiti 2 na majeruhi wengi baadhi yao wakiwa wameungua vibaya.
 
Ni kweli basi la Hood kutoka Mbeya limegongana na lori lililobeba mafuta ya kupika na basi limeteketea kabisa na abiria walioweza kutoka wameonekana ni kama kumi na tano hivi nimeongea sasa hivi na mfanyakazi wa Mbuga ya Mikumi wanaendelea kukata lori ili waweze kuzima moto. Basi la abiria 65
 
Ni kweli basi la Hood kutoka Mbeya limegongana na lori lililobeba mafuta ya kupika na basi limeteketea kabisa na abiria walioweza kutoka wameonekana ni kama kumi na tano hivi nimeongea sasa hivi na mfanyakazi wa Mbuga ya Mikumi wanaendelea kukata lori ili waweze kuzima moto. Basi la abiria 65

mungu azipokee roho za marehemu na awape unafuu wa maumivu majeruhi! Amen
 
Natoa salaam za rambirambi kwa wafiwa wote na pole kwa majeruhi wote. Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba uwalaze mahali pema ndugu zetu hawa na uwajalie afya njema majeruhi wa ajali ya hii ili wapate kurejea katika shughuli za ujenzi wa Taifa.

Jamani hizi ajali mbona zinazidi sasa hivi? Jamani Askari wa barabarani timizen wajibu wenu ipasavyo. lakini hii thread mbona haijakaa kisiasa zaidi, Mod ipeleke sehemu yake
 
Ni kweli basi la Hood kutoka Mbeya limegongana na lori lililobeba mafuta ya kupika na basi limeteketea kabisa na abiria walioweza kutoka wameonekana ni kama kumi na tano hivi nimeongea sasa hivi na mfanyakazi wa Mbuga ya Mikumi wanaendelea kukata lori ili waweze kuzima moto. Basi la abiria 65

Pole kwa wafiwa wote. cjui hata ilikuwaje,, sehemu kubwa ya mikumi mbugani barabara imenyoooka,hakuna kwamba kona kona kali ku obstract vision pia kuna matuta matuta kupunguza kasi! duuuu!
 
mkuu hujafafanua vizuri ilikuwajekuwaje?
Inasemekana mbugani mikumi kulikuwa na moto na kusababisha moshi mzito kutanda barabarani hali iliosababisha lory la mohamed interpresses kusimama then hood akaligonga hilo lori na hatimaye kuwaka moto..
Source: radio 5 arusha
 
Mungu atusaidie jamani,maisha yetu yapo hatarini kifo nje-nje,inatupasa tuandae mioyo yetu wakati wote kwani kifo hakina hodi wala taarifa bali ni wakati wowote mahali popote,Mungu aturehemu.
 
Back
Top Bottom