Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

hivi hawa sumry vipi?mbona sijasikia hatua kali zinachukuliwa kwenye hii coy,au ndio ule uvumi kuwa ni coy ya watu wazito?
 
Hizi takwimu zinatisha.kama kuna member mwenye records japo za last 12 moon days atuwekee hapa tuwatfakari hawa waarabu
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hii kampuni imekuwa ikipiga route za mbeya-s'wanga toka mi niko a young chalii lakini sisikii ikipata ajali kule kwenye barax2 ya vumbi.Inawezekana majini yake yana allergy na kitu cha tarmac road!
 
Basi la sumry liliokuwa linatoka mwanza limegongana na rav4 kibaha na kuna watu wamekufa.
Inasikitisha sana.Pengine kama watanzania tungekuwa watu makini, dawa ingekuwa ni kuyasusia hayo mabasi yao hata kama yatabadilisha jina hadi kampuni yao ifirisike then ingekuwa mwisho wa ajali zao za kijinga.
 
Inasikitisha sana.Pengine kama watanzania tungekuwa watu makini, dawa ingekuwa ni kuyasusia hayo mabasi yao hata kama yatabadilisha jina hadi kampuni yao ifirisike then ingekuwa mwisho wa ajali zao za kijinga.
Nakubaliana na wewe,maana serikali imekaa kimya kama hakuna kitu kinaendelea.
Wana ogopa maana wakienda kwenye ofisi zao wanaona mwenye bus kapiga picha na mkuu
 
mbona na jana lingine lilianguka?
This is too much with this carrier now!
Watatufanya tuamini yasiyoaminika!
.................unajua sumry wana mabasi mangapi?..................hudhani kuwa namba ya mabasi ambayo kampuni inayo na yenyewe inamatter.........................
 
Mimi naona ndugu zangu, tuombee mabasi haya yasipate ajali, tusikae kulaumu oh serikali haioni, oh oh, haitasaidia, tumuombe Mungu aondoe ajali katika kampuni hii na kampuni nyingine zote, huu ni mapango wa ibilisi wa kujivunia watu kwa njia ya haraka. Nina amini Mungu atasikia tu, someni YER 33.3, mbarikiwe wote mtakaofanya hivyo
 
Mimi naona ndugu zangu, tuombee mabasi haya yasipate ajali, tusikae kulaumu oh serikali haioni, oh oh, haitasaidia, tumuombe Mungu aondoe ajali katika kampuni hii na kampuni nyingine zote, huu ni mapango wa ibilisi wa kujivunia watu kwa njia ya haraka. Nina amini Mungu atasikia tu, someni YER 33.3, mbarikiwe wote mtakaofanya hivyo

I would leave GOD out this. Huu ni uzembe wa binadamu, period. Ndani ya week 6 tu sio chini ya ajai tatu! Kwa nini polisi wasisitishe leseni hadi watakapridhika kuwa Summry ana uwezo wa kusafirisha watu na sio kuuwa?
 
I would leave GOD out this. Huu ni uzembe wa binadamu, period. Ndani ya week 6 tu sio chini ya ajai tatu! Kwa nini polisi wasisitishe leseni hadi watakapridhika kuwa Summry ana uwezo wa kusafirisha watu na sio kuuwa?

Mkuu unajua tatizo letu ni kuwa kila siku tunamlaumu mungu kwenye kila jambo inabidi mamlaka husika zitimize wajibu wao tuache kumlaumu mungu kwa kila jambo.
 
I would leave GOD out this. Huu ni uzembe wa binadamu, period. Ndani ya week 6 tu sio chini ya ajai tatu! Kwa nini polisi wasisitishe leseni hadi watakapridhika kuwa Summry ana uwezo wa kusafirisha watu na sio kuuwa?
Hukunielewa, sijasema Mungu anahusika katika hili, ila kwa vile it is too much, tumuombe Mungu atusaidie kutuondolea hizo ajali, na simaanishi sheria isichukue mkondo, no no, yaani pamoja na hayo yote lakini na ibilisi yupo katika hili, basi Mungu awezaye yote atuepushe na ajali hizi pamoja na wahusika kuchukuliwa hatua tusikae kulaumu tuu nasi tuchukue hatua ya kuomba, that's all
 
Mkuu unajua tatizo letu ni kuwa kila siku tunamlaumu mungu kwenye kila jambo inabidi mamlaka husika zitimize wajibu wao tuache kumlaumu mungu kwa kila jambo.
Hakuna aliyemlaumu Mungu, soma vizuri uelewe
 
Wingi wa mabasi kwa kampuni ni moja ya sababu kuonekana inafanya ajali nyingi, ila ajali nyingi zinazotokea nchini kwetu zinachangiwa na uzembe wa madereva
 
Unajua sumry ana basi karibu kila route sasa ni rahisi kusport magari yake faster
 
Nimesikia anataka kununua magari mapya kwahiyo hizo ajali ni kafara.so wanajf safirini na HOOD.
 
Back
Top Bottom