Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Kama chanzo cha ajali ni traffic officer je wahanga wa ajali hiyo wanaweza kuidai serikali fidia? Wanasheria toeni mwongozo.
 
Jamani waliofikwa na janga hili ndg,jamaa na hata marafiki. Poleni sana tena sana! Na cjui 2taponaje na ajali hz zenye uzembe wa kibinadamu sehemu kubwa. Bwana ametoa na Bwana ametwaa! Jina lake li2kuzwe pasipo na mwisho.
 
hawa trafc wazush sana!hakuna ukaguz wowote zaid ya kuulizia fire extinguisher na angle!wana bahati jamaa wa lorry angewafagia ndio wakome!njaa tuu inawasumbua
 
Polisi trafiki nusura watolewe roho leo na wananchi wenye hasira baada ya kusababisha ajali eneo la Kunduchi JKT - Suma njia ya kwenda Tegeta na kusababisha watu watano kufa papo hapo na wengi kujeruhiwa.

Kama si kukimbilia ndani ya eneo la JKT leo ingekuwa mwisho wa habari yao.

Trafiki hao walisababisha ajali baada ya kusimamisha magari kwa fujo pasi na kuchukua tahadhali kama ilivyo kawaida yao eneo hilo.

Ajali hiyo imehusisha magari matatu, gari lililobeba chupa na kreti za bia, basi la abiria - DCM na gari ndogo saloon

Habari zaidi baadae...
 
nimeipokea kwa masikitiko habari hii....!mimi ni mkazi wa tegeta.
 
mods huu uzi umerudiwa tafadhari uunganishwe naule wa kwanza..
 
Wapo pale kila jumamosi kusanya pesa tu. Watoke pale trafiki zaidi ya kumi huwa wanagombea magari. Aibu yao.
 
hili tatizo la askari trafiki kuwa wakamataji na mahakimu wenyewe wa makosa ya barabarani litakwisha ln? what should be the tangible measure to be taken? maana ni kama Miungu watu flani. bora hiyo hukumu ya wananchi leo could have perhaps drawn tention to their brasses above
 
Basi la sumry liliokuwa linatoka mwanza limegongana na rav4 kibaha na kuna watu wamekufa.
 
chanzo cha ajali kimeelezwa kuwa ni nini, ingawa hivyo, poleni wafiwa, marehe mpate pumziko la milele amin.
 
Mbona na jana lingine lilianguka?
This is too much with this carrier now!
Watatufanya tuamini yasiyoaminika!
 
Makiwa yamepita poleni wafiwa. Maderewa kuweni makini jamani tuna familia kedekede zinatutegemea
 
Chanzo cha ajali polisi wamesema ni busi lilikuwa over speed
 
Back
Top Bottom