Mlipuko watokea Ubungo-TANESCO, umeme wakatika!

WanaJF msijali. Serikali yetu iko makini na hadi hv ss Mh. Ngeleja ameonekana mitaa ya Kariakoo Mnadani akitafuta jenereta mida ya saa kumi na moja na nusu jioni....kwa kwa kwa!
 
Tutaishi maisha ya kubangaiza na wasiwasi hadi lini??
Huu umeme imekuwa ni kansa sasa.
No wonder mpango wa dharura upo njiani....

dharura zimezidi sasa... hata watoto wetu itabidi kuwaita dharura
 
Tulikua tunaendelea na kazi lakini hadi sasa hakuna matarajio yoyote, tumeshindwa na spea hakuna. Inabidi iagizwe ujerumani kwenye kampuni ya Bosch.
Hakuna matarajio ya kupata umeme siku za karibuni.
 
Badra Masoud ameshatoa tamko kupitia Clouds FM na ametoa hofu kuwa hakuna tatizo lolote.
 
Badra Masoud ameshatoa tamko kupitia Clouds FM na ametoa hofu kuwa hakuna tatizo lolote.

Tatizo lipo kwa kuwa almost nchi nzima ipo gizani na yameshapita masaa 5 tokea hii kitu itokee.....inaonekana hamna plan ya wakati wa emergency kama ambayo ipo mbele yetu sasa hivi.
 
Hivi nuksi nadhani Mr presdaa atadhani ni mara baada ya kifo cha Sheick Yahya?

Maana everything is going down...

Anaweza kuhisi hujuma pia?

Afikirie mara mbili mbili aliokoe Taifa kwa kufanya maamuzi sahihi ie kujiuzulu.
 
Tatizo lipo kwa kuwa almost nchi nzima ipo gizani na yameshapita masaa 5 tokea hii kitu itokee.....inaonekana hamna plan ya wakati wa emergency kama ambayo ipo mbele yetu sasa hivi.

Ndiyo hivyo tena inabidi tuwe wapole tu.
 
Hawa ccm wajanja sana. Ili tusahau katiba, wanatuletea breaking news. Ikipita hii kama issue ya katiba itakuwa haijakaa vizuri kwao watagongesha hata treni hawa.
Im just thinking loud.
 
mlipuko umetokea katika substation ya tanesco ubungo na si songasi, kilichosababisha moto ni feeder moja ililipuka hapo kwenye substation, na ilsababishwa na itilafu ya umeme, moto ulizimwa dakika chache baada ya tukio.

ungenipa raha sana kama ungenidadafulia pia hili jambo lina impact gani, kifaa kinatoliwa uchinani ama ni hapo kk ili nikipange sawasawa!
Maskini viporo vywangu frijini lahaula
 
tulikua tunaendelea na kazi lakini hadi sasa hakuna matarajio yoyote, tumeshindwa na spea hakuna. Inabidi iagizwe ujerumani kwenye kampuni ya bosch.
Hakuna matarajio ya kupata umeme siku za karibuni.

lol! Kesho ukiamka pia utakuta na oryx gas imepanda bei
aghrrrrrrrrrr
 
mafisadi wako kazini, baada ya muda watasema wanaondoka na mitambo yao, na hii sheria ya kununua vitu chakavu ndo itapoanza kufanya kazi kwa hii mitambo
 
Tutaishi maisha ya kubangaiza na wasiwasi hadi lini??
Huu umeme imekuwa ni kansa sasa.
No wonder mpango wa dharura upo njiani....


kumbe na wewe huwa ukijisahau unachangia mada. Nimezoea kukuona kule kwenye mambo yako yale.

Anyway, kila lenye mwanzo lina mwisho. Hili swala la umeme lipo mbioni kutatuliwa.
 
unauliza makofi police....hii mana yke tumethubutu, tumeshindwa na tunarudi nyuma..... hali hii mpaka ln?
 
Back
Top Bottom