Mlipuko watokea Ubungo-TANESCO, umeme wakatika!

Ngoja nizime laptop yangu, nipate chaji ya kuanzia kesho! Tena am very intelligent, manake nilijikuta tu mchana narudi ghetto na kupika msosi hadi wa ucku!!!
 
Poleni mnaong'ang'ania kuishi DSM, sisi wa mikoani hayo matatizo yenu hayatuhusu kabisa. Hapa nilipo nakula kipupwe kwa kwenda mbele huku kitu cha Castle Lager kikinitumbulia mimacho. Mia

Acha upuuzi,hizo pombe zimeshakufanya vibaya!
 
mlipuko umetokea katika substation ya Tanesco Ubungo na si songasi, kilichosababisha moto ni feeder moja ililipuka hapo kwenye substation, na ilsababishwa na itilafu ya umeme, moto ulizimwa dakika chache baada ya tukio.
 
Afisa uhusiano wa Tanesco, Badra masoud akiongea na Redio One saa 1.30 usiku huu amesema ni Riatcor imeungua katika kituo cha Tanesco Ubungo sio kwenye mitambo ya songas na kasema ni maeneo kadhaa ya mkoa wa dar es salaam yameadhirika na kasema wamewahi kuzima moto ulilupuka na kwa sasa mafundi wanahangaika kutatua tatizo na ameahidi kuwa umeme utarejea usiku huu baada ya mafundi kukamilisha kazi yao. kasema wananchi wasiwe na wasiwasi umeme unakuja leo usiku huu na hakuna madhara mengine yaliyokea mbali na kuharibika kwa kifaa hicho
 
Badra Masoud ataibuka na kusema Panafrican Energy wamekata gesi, maana siku hizi Tanesco wana wa kumbebesha mzigo kirahisi.
 
Ngoja nizime laptop yangu, nipate chaji ya kuanzia kesho! Tena am very intelligent, manake nilijikuta tu mchana narudi ghetto na kupika msosi hadi wa ucku!!!

Mkuu, hapo kwenye RED: Hiyo siyo intelligence bali ni CLEVERNESS!!!
 
Tutaishi maisha ya kubangaiza na wasiwasi hadi lini??
Huu umeme imekuwa ni kansa sasa.
No wonder mpango wa dharura upo njiani....

 
Tutaishi maisha ya kubangaiza na wasiwasi hadi lini??
Huu umeme imekuwa ni kansa sasa.
No wonder mpango wa dharura upo njiani....


mkuu Paw shikamoo,
naona hawa jamaa wa ngeleja wamekuuzi, anyway this bongo get used to it
 
Back
Top Bottom