TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
kuna bomu limelipuka katika kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron steel kilichopo jirani kabisa na MMI STEEL,.INAASEMAKANA WATU ZAIDI YA WATATU WAMEFARIKI..↲
MLIPUKO HUO UMETOKANA NA KIPANDE CHA BOM u AMBACHO KILIKUJA KAMA SCRAPES..WANAJESHI WAMEITWA KUANGALIA UWEZEKANO WA KUPATIKANA MABOM MENGINE
MLIPUKO HUO UMETOKANA NA KIPANDE CHA BOM u AMBACHO KILIKUJA KAMA SCRAPES..WANAJESHI WAMEITWA KUANGALIA UWEZEKANO WA KUPATIKANA MABOM MENGINE