Masa najaribu kufikiria ndio gari limekusanya limeyapeleka kwenye kiwanda cha kuyeyushia vyuma huko Mikocheni habari watakayoipata huko nimara mbili zaidiKwa taarifa za Kiintelejinsia mabomu ya Gongo la Mboto yaliyokusanywa toka sehemu mbali mbali za jiji la Dar es Slaam mpaka sasa kwa uchache yamefikia 2100 (Pichani) bado yaliyozama vyooni, makaburini na hata katika baadhi ya nyumba. Watanzania mtaendelea kupata milipuko ya mara kwa mara.
NB
Kuna uwezekano pia SUMATRA wakafuta route za gongo la mboto baada ya kugundulika watu wanaweza kutembea kwa miguu ila ni uvivu tu ndo unao wasumbua ushahidi umeonekana wazi baada ya milipuko wiki iliyopita.