Arusha hivi punde watu wamerusha bomu la mkono kweny bar maarufu inayoitwa Arusha Night Park au ------ Bar iliyopo eneo la Mianzini inasemekana watu wawili wamepoteza maisha ila majeruhi ni wengi sana tukio hili ni ndani ya nusu saa iliyopita. Watu kibao walikuwa wanacheki mpira unaambiwa watu wamekatika mikono yaani balaa majeruh ni wengi mno........
Isije kuwa ni kuhamisha attention ya kesho, maana nikikumbuka kipindi kile cha mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha na jinsi ustadi ulivyotumika kumleta hewani babu wa Loliondo sina hamu na hii system ya Msafiri.
Wenzetu Kenya wanafuatilia lakini sisi janga likitokea tunaliweka kapuni.Au ni njia ya kutubadilishia upepo wa Katiba?Maana joto limekuwa kali mjengoni na viyoyozi vimeshindwa kazi.
Great thinking. Ukweli ndio huo mkuu. Lengo ni kuhamisha akili za watu kutoka Dodoma ikizingatiwa kuwa kesho watu walikuwa wanasubiri kwa hamu kumsikiliza Tundu Lissu.