Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

jamani pale kunavyojaa watu kuangalia mpira....hatari sana
 
JAMAN ni kwenye bar la night park a.k.a ------ bar ni mlipuko wa bomu nilikuwa maeneo ya PIN point. NAPATA smin off yng mshindo uliotoka ikabidi niuache bt police wamewasili kidogo ontime cjui lengo hasa ni nn bt kwa ujumla tuwe na subra maana kila moja anasema ya kwake.
 
grin guard wanajibu mapigo. Jana mkuu wao wa arusha kakamatwa
 
JAMAN ni kwenye bar la night park a.k.a ------ bar ni mlipuko wa bomu nilikuwa maeneo ya PIN point. NAPATA smin off yng mshindo uliotoka ikabidi niuache bt police wamewasili kidogo ontime cjui lengo hasa ni nn bt kwa ujumla tuwe na subra maana kila moja anasema ya kwake.

Night Park ipi hiyo mkuu?
 
Kuna taarifa zakutokea mlipuko wa bomu Jijini Arusha muda huu katika baa ya Night Park kunaripotia majeruhi na vifo nafwatilia kwa taarifa zaidi,
 
Watu wameumia sana zaidi yawatu 25 wamekimbizwa hospitali kuna wengine waasadikika kuwa wamekufa mungu ibariki tanzania na arusha tumechoka na abomu ya kila siku arusha jmni kanisani mkutano wa chadema bar tena heeeeeeeeeeee sijui bna
 
nipo eneo la tukio mkuu wa polisi ndo ameondoka muda sio mrefu, eneo limezungushiwa police line, wanaendelea na uchunguzi....

Mkuu fafanua zaidi....ni eneo gani hasaa?
 
Wenzetu Kenya wanafuatilia lakini sisi janga likitokea tunaliweka kapuni.Au ni njia ya kutubadilishia upepo wa Katiba?Maana joto limekuwa kali mjengoni na viyoyozi vimeshindwa kazi.
 
Kuna taarifa zakutokea mlipuko wa bomu Jijini Arusha muda huu katika baa ya Night Park kunaripotia majeruhi na vifo nafwatilia kwa taarifa zaidi,
Yale yale jambazi la arusha linajua hii ishu kamata haraka.
 
Nipo hapa Picnic na mie nimeucikia huo mlipuko.....mmmh...ngoja niwahi home.

Wewe bana nenda kwenye mlipuko ututumie picha...shirikiana na le mutuz yuko hapo mt meru hotel anakaa room yenye gharama sawa na kodi ya nyumba ya mwaka mzima hapa dar...plz tafadhali zingatia maelekezo haya
 
nipo uzunguni kuna mtu ameniambia kuhusu mlipuko huo!no details!
 
Back
Top Bottom