KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,372
Jamani jk amesharudi dar isije ikawa paka ameshaanza fujo zake?
Daaaah Preta wangu nzima jamani?:what:😕
Ingekua unavyotaka wewe mangatara wala kusingekuwa na breaking news!
Asante PK kwa kuendelea kuifanya jf, "be the first to know!".
Endelea kufuatilia tukio hilo, haswa chanzo cha mlipuko na matokeo!.
Usiwajali watakaokulaumu kwa nini umeleta habari nusu, hao wamezoea kula chakula kikiwa kimeishaiva, na kupakuliwa kwenye sahani, wao kazi yao ni kula tuu, sisi ambao ni wapishi, hata chakula kabla hakijaiva, huonja kwanza, hivyo tunakushukuru kwa kutuonjesha, tunakisubiri kiive utupakulie tule!.
Pasco
Olasiti na unga ltd? Kwani unga ltd kulitokea nini? Na wewe usiandike kama hujui kitu.
Manga, lengo ni jf be the first to know, akiishapata habari kamili, atamalizia!.
Pasco
Mkuu kama unakaa karibu na haujasikia basi tumshukuru Mungu kama sio ukweli, lakini habari yako ya leo manchester city kucheza na Barcelona inanitia shaka, leo Liverpool ilicheza na Man City na Barcelona ilicheza jana na Granada na kufungwa moja bila..
Mods kama hii habari haina ukweli naomba huu uzi ufutwe tuache kutiana presha za bure
poleni sana mkuu. zidi kutupa up dates zaidi ikiwezekana hadi na picha.Ni bomu mkuu, watu wengi wameumia na wamekimbizwa Selian Hospital na Mt. Meru Hospital, MUNGU awape kupona majeruhi wote.
TANZANIA LEO NI MAJANGA!
Olasiti na unga ltd? Kwani unga ltd kulitokea nini? Na wewe usiandike kama hujui kitu.
Hii bar c ndo inaitwa makalio-- bar, na huwa panajaa sana siku ya mechi hasa leo palifurika maana mwenye bar ni mdau mkubwa wa barcelona, na leo barcelona ilicheza na man city
Poleni sana wahanga
Watu wameenda kuondoa stress halafu wanapigwa mabomu....