Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

Haya mambo ya milipuko yaingizwe kwenye katiba mpya ili kuzuia milipuko isiyotarajiwa
 
Wewe bana nenda kwenye mlipuko ututumie picha...shirikiana na le mutuz yuko hapo mt meru hotel anakaa room yenye gharama sawa na kodi ya nyumba ya mwaka mzima hapa dar...plz tafadhali zingatia maelekezo haya

amejikusanyia feza ya kutosha miaka 30 USA na ushareholder k
 
Wewe bana nenda kwenye mlipuko ututumie picha...shirikiana na le mutuz yuko hapo mt meru hotel anakaa room yenye gharama sawa na kodi ya nyumba ya mwaka mzima hapa dar...plz tafadhali zingatia maelekezo haya

lemutuz mimi niko nje ya mt meru hotel nakusubiri twende eneo la tukio!
 
Last edited by a moderator:
Hii bar c ndo inaitwa makalio-- bar, na huwa panajaa sana siku ya mechi hasa leo palifurika maana mwenye bar ni mdau mkubwa wa barcelona, na leo barcelona ilicheza na man city, so cjui lakini inawezekena japo nakaa karibu na cjasikia hizo habari.
 
Magaidi wamefukuzwa kenya sasa wamevuka namanga wameleta bugudha zao tz sasa!
 
lemutuz mimi niko nje ya mt meru hotel nakusubiri twende eneo la tukio!

Yuko na mbebz wa ukweli you know... hawezi kumwacha mbebz you know HA HA HA HA LE big show le baharia ha ha ha..!
 
Last edited by a moderator:
duu pole kwa mlipuaji na wale wanaowategemea majeruhi..
 
Wewe bana nenda kwenye mlipuko ututumie picha...shirikiana na le mutuz yuko hapo mt meru hotel anakaa room yenye gharama sawa na kodi ya nyumba ya mwaka mzima hapa dar...plz tafadhali zingatia maelekezo haya

khee kheee kheee hee!!
 
Back
Top Bottom