the simplest solution. get some one mwenye msingi mzuri na mwenye mtazamo kama wako.
Hawa waliokuzwa wakiona baba hajawahi kufua handkerchief ni hopeless. kwanza ni WAVIVU tu hamna lingine.
wako wachache hard working, open minded AND VERY ROMANTIC but unless ana msimamo kweli na hapelekeshwi na maneno ya watu nahisi anaweza kukuchenjia huko mbele.
Yani Hawa ili mradi tu ye kaweka nne we unapilika huko, basi wanaona rahaaa. ukikaa, unamtia na kichefuchefu 😀
humu matusi na vichambo vya makungwi uchwara zoea tu...
watu wana stress. wengine wanahisi kutishwa na lifestyle za wengine sijui kwa nini. mimi nikisema sipendi house chores inakuuma nini hasa??
Mbona kuna Mtu humu alianzisha thread anaenjoy kumfanyia kila kitu mumewe, basi ni sifa mwanzo mwisho. huku matusi kwanini?
WAVIVU, watafuta cheap labor and men's attention utawajua tu.
whenever they say "man" replace it with "African man"