Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Umezaliwa mwaka 1983, hadi sasa bado hujaolewa sababu ya jeuri jeuri hizo za kiswahili. Sasa kama hutayafanya, umekuja kutusimulia ili tukupongeze au tukurekebishe? Kujaribu kumrekebisha mtu kama wewe ni upotevu wa muda, 2016 - 1983 = 33yrs unakaribia menopause
Mnh mbona unanishambulia wewe dada?huyo aliyekufunda hakukuambia kuwa na stara mbele ya watu?!.... Unaniambia ni jeuri,wakali post yako imejaa kiburi.... Usijali tuko hapa kwa sababu mbalimbali kuelimishana kupass time... Nimeleta hii mada watu waangalie Vitu kwa mlengo mwingine..
Sijaja kusutana hapa naamini hii thread imefungua macho especially wakaka waanze kuwa responsible nyumbani..

Yes am approaching 33 soon?THANK YOU ALMIGHTY GOD.. For I am breathing today because of YOU..

unaogopa MENOPAUSE?! mwenzio siogopi...it's natural thing.. Km ulivyoanza kuona period ukazoea kuona.?ndivyo itakavyokuwa zikikoma
Hapana Rebby,mmeo akiwa disabled utamkimbia na kuwa mchepuko,dalili ziko wazi.
 
Aiseee inakujaga naturally hata we itakuja tu kama unaona huwez tafuta haousegirl amuhudumie mumeo .. Halafu uone wivu utavyokukalia kooni ooh mume wangu anamwangalia hg wakati MTU mwenyewe mbaya ..
 
Vipi unyumba utakuwa unampa?

Kama jibu Ni ndiyo then hayo uliyoyataja Ni extra Tu kikubwa kwenye ndoa Ni tendo la ndoa.
 
Kama kutandika kitanda kwako ni kazi basi hata kyupi zako kuzifua nishida
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Pole sana
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Kama mama yako alifanya kwa baba ako, utakua mzito kuelewa.
 
Hayo waga mnaongea kipindi hichi cha ukuaji,unachagua mume umpate wa aina gani,mara sijui awe handsome na tajiri,awe mrefu n.k,,,,ngoja muda ukitupe mkono utaona utakavyo zunguka kwa waganga ukizan umelogwa usiolewe,,maisha yanabadilika dada,usizani kila siku ni ni j2, ringa wakati wako huu ila itafika kipindi utamtafuta hata wa kumfulia vyupi na kumkata kucha humuoni.
Maneno kuntu[emoji109] [emoji122]

Mi naona ajabu sana mwanamke kutamka maneno hayo angali bado hajajua uzao wake utakuwa wa namna gan? Anapanda mbegu gan katika uzao wake ujao?
 
nadhani washkaji mmeanza kuona madhara ya kuwawezesha hawa mnaowaita wanawake eeeh,
 
wanaomshambuliaaaa utafikiri wao wanaplaybparty zao kama wababa nawakati humu kila siku oooh wanawake ni wabinafsi na hwla zao, mara majukumu ni kusaidiana[emoji1] [emoji1] [emoji2] ukitaka kusaisiana majukumu uwe una maaniaha kweli sio nusu nusu!

my stand[emoji15] yale majukumu ya mama naturally akiyatimiza na baba akatimiza yake ndoa itanoga sana mabadiliko yafanyike kwa mapenzi! haimaanishi muwalundikie wanawake mikazi 40 years keahazeeka[emoji12] it is so romantic mama/ baba afanye majukumu ya ki biblia ama qurani .
Ukitaka I we hivyo ukae nyumbani,nakuachisha kazi. kazi itakuwa kuangalia watoto ,majukumu ya nyumbani,kujipodoa na kutoa uroda basiii.
 
Ukitaka I we hivyo ukae nyumbani,nakuachisha kazi. kazi itakuwa kuangalia watoto ,majukumu ya nyumbani,kujipodoa na kutoa uroda basiii.

kuna shida gani natunza watoto najipamba vilivyo! kama we ndo umenisomesha.[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ni ajabu ashindwe kumhudumia
mme mzima aweze kumhudumia mme mlemavu!!!!
Mapenzi ni wajibu ukimpenda mme wako haitakuwa mzigo. Kutandika siyo kazi lkn mawazo yako ulivyoandika una tatizo la kisaikolojia pole kwa sababu utapata mme na utaachika. Utaterekezwa na watoto kama unauwezo wa kuzaa, lkn inaonekana hauna hata uwezo huo
 
Mpk hapo mtakavyoona mapenzi sio utumwa...
Mnh km Uzungu ni kutofanya haya yote uliyoyataja then bora nitafute mzungu at least wako sophisticated..
HAKUNA UTUMWA?!
the simplest solution. get some one mwenye msingi mzuri na mwenye mtazamo kama wako.

Hawa waliokuzwa wakiona baba hajawahi kufua handkerchief ni hopeless. kwanza ni WAVIVU tu hamna lingine.

wako wachache hard working, open minded AND VERY ROMANTIC but unless ana msimamo kweli na hapelekeshwi na maneno ya watu nahisi anaweza kukuchenjia huko mbele.

Yani Hawa ili mradi tu ye kaweka nne we unapilika huko, basi wanaona rahaaa. ukikaa, unamtia na kichefuchefu 😀

humu matusi na vichambo vya makungwi uchwara zoea tu...

watu wana stress. wengine wanahisi kutishwa na lifestyle za wengine sijui kwa nini. mimi nikisema sipendi house chores inakuuma nini hasa??

Mbona kuna Mtu humu alianzisha thread anaenjoy kumfanyia kila kitu mumewe, basi ni sifa mwanzo mwisho. huku matusi kwanini?

WAVIVU, watafuta cheap labor and men's attention utawajua tu.

whenever they say "man" replace it with "African man"
 
Ni ajabu ashindwe kumhudumia
mme mzima aweze kumhudumia mme mlemavu!!!!
Mapenzi ni wajibu ukimpenda mme wako haitakuwa mzigo. Kutandika siyo kazi lkn mawazo yako ulivyoandika una tatizo la kisaikolojia pole kwa sababu utapata mme na utaachika. Utaterekezwa na watoto kama unauwezo wa kuzaa, lkn inaonekana hauna hata uwezo huo
Mnh mume akipatwa ulemavu ama ni disabled na nimempenda nitasaiidia kwa kuwa HAJIWEZI..nielewe?.! sio mtu nzima na miguu yake mzima wa kichwa na mwili awe km mtoto
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
better stay single
 
Mawazo ya binti alietoka chuo na kupata kaajira bank sijui sacos utayajua tu,yaani hapo umekopeshwa ka-Vitz au IST na chumba chako chakupanga unachoishi Sinza basi unaona maisha umeyamaliza na umri wako huo wa 22yrs unajiona bab kuubwaa,believe me ukifika 30to35 ndiyo akili itakukaa sawa zaidi utakapokuwa na mtoto asiye na baba...hayo maswali hapo juu ungeanza kumuliza mama yako ungepata jibu unless umelelewa na single mom.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza. [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Mwanamke usiyejitambua ww
 
Back
Top Bottom