Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
"You take care of me, I take care of us." - Every sane man.
Kazi za kiume hizo I bet wanaume mliojibu kwa kashfa kny hii thread..HAWAZIWEZI!!!ila wakiambiwa washirikiane na wake zao kwa kazi ndogo ndogo..wanakuwa wakaliWanawake wa mjini ni waajabu kupika na kufua unaona kazi sana.
Kuna wanawake wenzako huko kijijini wanalima ,kukata kuni,kufyatua matofali nk.
Wewe inaonekana hata kufua nguo yako ya ndani huwez.i
Kazi za kiume hizo I bet wanaume mliojibu kwa kashfa kny hii thread..HAWAZIWEZI!!!ila wakiambiwa washirikiane na wake zao kwa kazi ndogo ndogo..wanakuwa wakali
Define real lovetena wewe ndio wale wanaojilazimisha..hauko real...ndoa yenu imejaa unafilki real Love haiko one sided ndugu
Na ndio maana nae atakuoa kwa sababu hana sifa za kuwa mume/mwanaumeHahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya![]()
![]()
![]()

Wala usijali nina mamangu mdogo ana principle kama zako basi hjaolewa ila ana mawe sana na mtu wa starehe watoto wake ndo sisi watoto wa ndugu zake basi mbona tunafaidi..cha msingi uamue kweli na uwe vizuriMpk hapo mtakavyoona mapenzi sio utumwa...
Mnh haya dada ENDELEA kufanya hizo kazi kwa mumeo..Wewe Dada, usiseme hivyo, kuna nikiwemo mimi huwa wanawasaidia wenzi wao kufanya kazi ulizotaja hapo juu. Kwa mfano mimi nikiwa nyumbani week'nd sipendi kuona mwenzangu ana lundo la nguo akichukua muda mrefu kufua, miye huwa nmasaidia kuzifua yeye anazisuuza na kwenda kuanika. Hilo neno la mwisho ulilotumia sio zuri, kumbuka maneno huumba, ukimtakia hivyo mume wako ni lazima ndoa yenu itaanza kuyumba, hicho ni kipimo cha hali ya juu cha utovu wa nidhamu. Nina imani kuwa ukimwomba mwenzio kwa nia nzuir akusaidie miongoni mwa kazi tajwa hap juu, atakusaidia tu. Hata hivyo, kweli kutandika kitanda na kuandaa chaula cha familai yako na vyenyewe unaita kazi !!!?? Halafu watoto wako utawaleaje !!!
Ukikuwa utajua maanaHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Umeona eeh,umri bado akikua atajuaUkikuwa utajua maana
eti shem wewe utakuwa humpikii kaka yanguAin't your mama by Jlo
Wanashinda sana instagram kuangalia maigizo ya kina wolper, anty, luby na zari....Hata hawajiulizi kwanini mengi alimuoa Jackline? alisema ni sbb anafanya majukumu yake as an african woman and wife! Anafua hahitaji mashine, anatunza nyumba yake hahitaji made kumtandikia! Sasa huyu Bangayeye aendelea kusema i cant do hadi awe disabled!Hivi mtaacha lini ufilipino??
Hata mimi Nadhani nitafanya hivo,kuolewa ni wito..Wala usijali nina mamangu mdogo ana principle kama zako basi hjaolewa ila ana mawe sana na mtu wa starehe watoto wake ndo sisi watoto wa ndugu zake basi mbona tunafaidi..cha msingi uamue kweli na uwe vizuri

Hapo ndo utakua umefanikiwaHahahaaa mkuu umenichekesha..tunabaki maboya mawili....sio tabu lakini![]()
Mi ntampikia tu.eti shem wewe utakuwa humpikii kaka yangu
Tupo mi mwenyewe nashindwa kumshangaa shost sijui kapata zanzi for lunch!mbona wanawake siwaoni hapa..