Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
We bado msichana.ukipevuka utajielewa.Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Na mapenzi sio ngono.Mpk hapo mtakavyoona mapenzi sio utumwa...
wanavituko sanaHahahahahah
Kumbe ww unajua ndoa ni kupigwa mwendo kasi tu daaah unazidi kuchelewaa mdada ndoa ni zaidi ya kujitoa yaani hata nashindwa kikukuelezea endelea kudhani kupigwa mwendokasi tuHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
Ha ha ha umenivunja mbavu rebecaHahaa na huyo mmoja atakaebaki wa kunioa nae ajue sijapata kufanya huo UJINGA na sitafanya![]()
![]()
![]()
Mtumeee roho yangu!!!! Unatupa majaribumimi afadhali gari langu liwe mkangafu lakini sio la mrs!!
afadhali nisivae vizuri lakini sio mrs.
afadhali nikose pocket money lakini sio pochi wa mrs.
afadhali nisipulizie a good perfume lakini sio mrs.
afadhali nave kiwembe lakini sio mrs.
So mke ndio kila kitu ni wajibu wangu, na yeye anajua wajibu wake kwangu. na sio kwamba sasa anafanya 24/7 hapana kama upendo upo mbona mnafanya wote tuu ila chief incharge ne yeye. alaskini kama ana kisirani huko jikoni atanisikia tu, tutakutana ndani ya shuka na lazima makamuzi yawepo!! maana ni masharti ya ndoa. hata akidunda mkifika 6x6 ngoma inapigwa sawia!! hehee , sasa nyie wa leo mkisemwa tu mwavaa jeans!! matokea jama huyooo ananoigesha nje , sasa ole huko nje kuwe kutamu na manjonjo kuliko wewe!!!!
Kwisha!!!