Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Basi sawa

Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
 
if you can manage!! mnakimbia familia zenu kila siku, majukumu yamewashinda, mkisikia ya wanawake ndio mishipa inawasimama.

Ukitaka I we hivyo ukae nyumbani,nakuachisha kazi. kazi itakuwa kuangalia watoto ,majukumu ya nyumbani,kujipodoa na kutoa uroda basiii.
 
hahahaaaaa!! nilikumiss.

the simplest solution. get some one mwenye msingi mzuri na mwenye mtazamo kama wako.

Hawa waliokuzwa wakiona baba hajawahi kufua handkerchief ni hopeless. kwanza ni WAVIVU tu hamna lingine.

wako wachache hard working, open minded AND VERY ROMANTIC but unless ana msimamo kweli na hapelekeshwi na maneno ya watu nahisi anaweza kukuchenjia huko mbele.

Yani Hawa ili mradi tu ye kaweka nne we unapilika huko, basi wanaona rahaaa. ukikaa, unamtia na kichefuchefu 😀

humu matusi na vichambo vya makungwi uchwara zoea tu...

watu wana stress. wengine wanahisi kutishwa na lifestyle za wengine sijui kwa nini. mimi nikisema sipendi house chores inakuuma nini hasa??

Mbona kuna Mtu humu alianzisha thread anaenjoy kumfanyia kila kitu mumewe, basi ni sifa mwanzo mwisho. huku matusi kwanini?

WAVIVU, watafuta cheap labor and men's attention utawajua tu.

whenever they say "man" replace it with "African man"
 
hii kitu iko automatic tu mamii, utajishangaa unafanya tu tena bila kushurutishwa.
Mambo ya kusaidiana itategemea na mwanaume uliyenae(malezi yake pia) na aina ya mahusiano mlionayo, ila huwezi kumwambia mwanaume eti "sitakupiki,kukufulia,kutandika kitanda....nk"

mwanamke ni mlezi wa familia so ktk huo ulezi hayo huambatana pia.
Kumbe una akili akili eeeh....Mimi nilifikri hicho kichwa kimeharibiwa na £££$$$$$$$ tu!
 
Kiki tu hii kwani Hana la maana

hapana sio kiki, hivi unadhani hizo chores tunazozifanya tunazipenda sanaaaaa! basi tu hizi tamaduni zinatufanya tusiwe na jinsi maana usipofanya basi unaonekana kama an elien, na kila mtu atapata cha kuongea.
sasa ikitokea anaeongea kuwa hapendi msimshupalie sana ni kweli hatupendi(nimeongelea kundi kubwa) ila ndio vile tena
 
hapana sio kiki, hivi unadhani hizo chores tunazozifanya tunazipenda sanaaaaa! basi tu hizi tamaduni zinatufanya tusiwe na jinsi maana usipofanya basi unaonekana kama an elien, na kila mtu atapata cha kuongea.
sasa ikitokea anaeongea kuwa hapendi msimshupalie sana ni kweli hatupendi(nimeongelea kundi kubwa) ila ndio vile tena
Nyie wanawake wa siku hizi pasua kichwa sana! Sasa huyu alieleta thread anashangaa kupika,kufua,kutandika kitanda, seriously? Hii ni mada kweli ya kujadili? Kufua kama kazi nunueni mashine. Kupika chakula unachokula na mumeo napo tupangiane zamu? Kutandika kitanda nayo ni kazi ya kujiuliza?
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
nani akuoe sasa? wapo watoto wazuri tena wabichi wanaoweza kufanya haya! wewe endelea kusubili disabled! sikuizi ndoa zinatafutwa dada! ohooh!
 
kumbuka wengi ni wafanyajazi, tunachoka sana jamani mtuelewe tu.
maybe kakaa kajiulizaa kaona anavyochoka na shughuli zake tu ni headache, je angekuwepo na mume ambae ni demanding je!! tunachoka sana, muwe waelewa nanyi msiwe mizigo.


Nyie wanawake wa siku hizi pasua kichwa sana! Sasa huyu alieleta thread anashangaa kupika,kufua,kutandika kitanda, seriously? Hii ni mada kweli ya kujadili? Kufua kama kazi nunueni mashine. Kupika chakula unachokula na mumeo napo tupangiane zamu? Kutandika kitanda nayo ni kazi ya kujiuliza?
 
Nimecomment kabla ya kusoma hii. Umemweleza ukweli. Kamweleze pia hata sisi tuna majukumu yetu. Mfano ni jukumu langu kuhakikisha kaya wangu naihudumia kwa kutoa pesa na kuilinda. Usiku nje ukisikia pwaa ni lazima nitoke na upanga siwezi kumtuma mtoto wala mke wangu. Kama tupo wote na mtu akatupa jiwe lazima nikukinge linipige mimi baadala ya kuharibu reception ya mke wangu etc.
how significant are the differences btn the sexes and how important are they in this era?

what about the differences btn people of the same sex?

sawa on average mwanaume ana nguvu zaidi. kweli utafaa zaidi kutoka nje usiku. sasa ni nini kuhusu anatomy yako kinachokufanya ushindwe kupika? au kufua? nini kinachomshinda mwanamke Leo hii kuleta chakula nyumbani?

mkubali kuwa hizi gender roles ni mapokeo na dunia imebadilika Hamna budi kubadilika.

kama mmekubaliana mmoja akae nyumbani, mmoja akatafute chakula ni sawa.

kimbembe pale wote wanatafuta chakula halafu mmoja hasaidii nyumbani kisa ana kengele . ni uvivu na kutokujali mwenzako.
 
Back
Top Bottom