jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
haaaaahHivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D
Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.![]()
![]()
![]()
hv kuna wanawake wa aina yako hapa dunian kweli au uko peke yako.
Ukiona hivyo ujue hata kitanda chako na nguo zako hufui weweeee.
Mungu tusaidie