Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
haaaaah
hv kuna wanawake wa aina yako hapa dunian kweli au uko peke yako.

Ukiona hivyo ujue hata kitanda chako na nguo zako hufui weweeee.

Mungu tusaidie
 
hii thread imenifanya nicheke sana badala ya kusikitika
Ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Hiv uko serious kweli na ulichokiandika?
Huyo mwanaume atakaye kuoa lbd umuumbe mwenyew.
Kama ni yale mapenz ya girl na boyfriend
Uko sahihi kbs sbb mtakutana kwa ajili ya show ya kibabe then baada ya hapo kila mtu na njia yake.
Hata km ungekuwa na pesa km bakhera au bill gate kwa mwend huu utaachika tu.
Ha! Ha! Ha! Ha!
Natafuta hebu mpe somo huyu naona hajielewi
Masikini cha msingi si kumcheka bali kumsaidia. Huyu ni binti na kweli hajui responsibilities za ndoa. Kwa vile siku hizi kuna mitindo ya wao pia kuwa juu anadhani hata katika ndoa kuna gender equality! Kuna gender roles tu. Kwa hiyo akina NIMPENDENANI wasaidie kumwelimisha kwani nadhani amelelewa na single parent. Wake zetu pamoja na PhD zao etc asubuhu wanatupigia viatu rangi na wala si kwa kumlazimisha ila yeye anaona fahari hata kukuchagulia nguo ya kuvaa. Anaingia jikoni anapika chakula na kukuuliza kama umekipenda. Kuna role za mwanamke hata akiwa ni makamu wa rais na za mume pia mfano kumnunulia washing machine ili kumsaidia katika kufua nguo etc
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.



Basi olewa na disabled
 
Haya majukumu ya kumuhudumia mume yalianza tangu bustani ya eden mpaka kufika hapa tulipo huwez kuyakimbia lbda uwe umekufa. Dada yangu na wanao support huu uz acheni kuishi maisha ya kufikirika. Km ww ni mwanamke halafu unapinga majukumu yako kwa nguvu zako zote nafikiri hautakuwa na akili timamu. Hebu jitafakar mwenyew najua mtasema HAKI SAWA lkn ktk ndoa haya mambo hayapo kila mtu ana majukumu yake. Najua kuna watu waliishi hostel chuon sasa ile tabia ya kumtembelea boyfriend wako unamkuta anafua nguo mnasaidiana, mnapika wote na mnatandika kitanda wote sasa unafikir maisha ya ndoa yako hivyo. Utajikuta kila mwanaume anakukimbia akikuhurumia sana atamfanya house girl kuwa mke wa pili. Hata kama ungekuwa na cheo cha urais utampikia na kumtandikia mumeo kitanda. Huu utaratibu wa kumuhudumia mumeo upo dunian kote hata km ungeolewa na mzungu, mwarabu, mhindi n.k
Km unaona kaz kumuhudumia mumeo utaweza kweli kumuhudumia mtoto? Utaweza kumbembeleza anapolia usiku? kumnyonyesha? Kushika mavi? Kumpeleka hospitali? Kufua nguo za mtoto? N.k
Pole sana huyo mwanaume utakayempata lazma aje kutoa thread hapa JF ya kuomba ushauri.
Inabid ukaombewe hauko sawa
Nimecomment kabla ya kusoma hii. Umemweleza ukweli. Kamweleze pia hata sisi tuna majukumu yetu. Mfano ni jukumu langu kuhakikisha kaya wangu naihudumia kwa kutoa pesa na kuilinda. Usiku nje ukisikia pwaa ni lazima nitoke na upanga siwezi kumtuma mtoto wala mke wangu. Kama tupo wote na mtu akatupa jiwe lazima nikukinge linipige mimi baadala ya kuharibu reception ya mke wangu etc.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
Na hawa ndio mabint wa kisasa ,aisee wacha ndoa zivunjike tu maana imefika wakati hadi wanawake wanajivika uanaume, kuna tofauti kubwa san kati ya jinsi hizi mbili na hii ni hadi kwa wanyama na ndio maana huwezi kuta hata siku moja ndama likamfata dume au vifaranga vika fuata jogoo ama simba jike akawa na manyoya shingoni nk. Na tofauti hii ipo ki uumbaji ila kwa vile ndoa zimeingiwa siasa haya ndio matokeo, suburi mama utampata mume wa type yako ila vinginevyo kama kweli utayafanya hayo katika ndoa yako sahau swala la kudumu kwenye ndoa labda uish bila ndoa.
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.

olewa bas kwanza then uje kutupa mrejesho!
 
nani kakwambia wazungu hawafaanyi majukumu yao kwa waume zao??

Hukufundwa, umeiga uzungu, hujui majukumu ya mke ndani ya ndoa. Ukiona katulia ujue kuna anakopata faraja ua kuwa mwanaume!! ni ngalizo tu. wacha uzungu ukuharibu, na utaharibu ndoa yako mweyewe kwa mikono yako. Ni hivyo kuitwa mwanamke??????........................ ushaelewa
 
Jiandae kujichumbia mwenyewe kisha kujioa mwenyewe. Kwa kauli hii utasubiri sana mume.

Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
 
hii kitu iko automatic tu mamii, utajishangaa unafanya tu tena bila kushurutishwa.
Mambo ya kusaidiana itategemea na mwanaume uliyenae(malezi yake pia) na aina ya mahusiano mlionayo, ila huwezi kumwambia mwanaume eti "sitakupiki,kukufulia,kutandika kitanda....nk"

mwanamke ni mlezi wa familia so ktk huo ulezi hayo huambatana pia.
 
hii kitu iko automatic tu mamii, utajishangaa unafanya tu tena bila kushurutishwa.
Mambo ya kusaidiana itategemea na mwanaume uliyenae(malezi yake pia) na aina ya mahusiano mlionayo, ila huwezi kumwambia mwanaume eti "sitakupiki,kukufulia,kutandika kitanda....nk"

mwanamke ni mlezi wa familia so ktk huo ulezi hayo huambatana pia.
Shikamoo mama ake HS.....
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
Utoto unakusumbua ukikua utaacha
 
wanawake wengi na hasa wa mjini wanapenda kuishi maisha ya tamrhilia na matokeo yake wengi wanaweza kubaki wakiwa wadada wasaidizi wa ndoa za watu!
nakubali wapo wanawake waaminifu wanao mlilia MUNGU awape ndoa na naimani IPO Sikh
lakini wapo wanawake wanaofikiri vigezo vya kuolewa vitabaki kuwa vigezo vya kuendelea kuishi; Mme noa
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
we ndo wa kizazi kipya wa haki sawasijui usawa wa kijinsia kitu ambacho hakiwezekani wewe....... unawapotosha watoto wa watu tu...
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
Walio fundwa hilo sio tatizo, ila kama mahusiano yameanza Disco ni ngumu
 
Back
Top Bottom