Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Sentensi nyingi lakini hoja wapi. Rushubenyuma.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Yaani umesimuliwa kuwa anaropoka na wewe unakurupuka na kudakia hicho kiitikio cha kwamba anaropoka.
Hebu lete yoyote kati ya statements alizowahi kuzitoa Lissu utwambia sehemu ambayo ameropoka!?
Badala yake mimi naona wewe ndiyo umekurupuka na kuanza kuropoka vitu ulivyolishwa na wasiopenda kuambiwa ukweli.
Unajifanya kuchambua sheria na Katiba ndiyo unazidi kujidhihirisha ulivyo empty set kichwani. Yaani Katibba mbovu inawezaje ikakupatia sheria imara? Hizo sheria zitalindwa na Katiba ipi? Taasisi zipi?
Kuna Watu yaani mpompo tu kama Moshi wa takataka.
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzania wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
Nenda na wewe ukalambwe risasi ndio uje uongee. Mnaongea Sana mkiwa kwenye keyboard baada ya kushiba ugali. Punguza unafiki.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Ujuaji na arrogance za kijinga kupita maelezo.

Nani amewahi kuwa Rais wa nchi hii ni presidential material zaid ya bla bla zako hapa

Kuna unalolijua kuhusu uhifadhi zaid ya hizo hadithi zako za alfulela ulela.
Aliekwambia kukosoa lazima utoe mbadala ni nani? Serikali haina wataalamu?

Mbadala wa hayo matatizo ni CCM kutoka madarakani.

Kuhusu NCAs aliwambia kuhamisha wamasai ilikuwa sulujisho nani?
Pressure ya conservation ipo NCA pekee?
Unaijua vizur hustoria ya NCA?

Punguza mihemko .
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Wewe hapa umefanya nini kama sio kuropoka, pumbavu
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Punguza makasiriko
Wewe mmoja huwezi kutufanya wewe ndio mwenye uelewa kuliko WaTz wote.
Usitukeleleshe na kutujazia server.

Weee ndio mropokaji
How about that?

Lissu kanyaga twende achana na wanywa vimpumu

Thread ndeeeefu upulusi mtupu
 
Punguza makasiriko
Wewe mmoja huwezi kutufanya wewe ndio mwenye uelewa kuliko WaTz wote.
Usitukeleleshe na kutujazia server.

Weee ndio mropokaji
How about that?

Lissu kanyaga twende achana na wanywa vimpumu

Thread ndeeeefu upulusi mtupu
Ha ha yeye ndio mropokaji
How about that
Nimependa hapo.

Kimsingi Lissu kawavuruga na wamevurugika
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Umeliweka vizuri sana,
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Kwani iwe Ngorongoro na isifanyike Serengeti,Burigi,Same,Tarangire,Mikumi,Katavi,Ruaha na sehemu nyingine zenye hifadhi?
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Rais siyo kazi lele mama na kulia jukwaani, kama huwezi kazi unaacha. Ukiona misukosuko kama ya Lisu inakushinda basi kazi huiwezi
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe like stupid idiot..

Lini Tundu Lissu kakuambia anataka kuwa Rais wa nchi hii kiasi cha kusema "he's not presidential material?".

As far as I know Tundu Lissu, ni kuwa, kwa ujumla wake jamaa [Tundu Lissu]ni mwanasheria mbobezi, mwanaharakati na mpigania haki za binadamu na mzalendo kwelikweli wa nchi hii ya Tanganyika kuliko wewe Rutashubanyuma ambaye kiuhalusia kupitia maandishi yako haya yanaonesha kuwa uelewa na ufahamu wako wa mambo uko chini ya wastani na inaonesha unapigania tumbo lako tu (ubinafsi).!!

Watu wa namna ya Tundu Lissu huusema uovu wa watawala straight bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno au kuupaka paka rangi na huwa wako tayari kwa lolote. Watu wa namna wako kote duniani na ktk kila nchi...

Kwa watawala waovu kwao watu wa namna hii huwaita ni "watu wanaozungumza bila staha" na pengine watukanaji. Yaani kwao wakiiba au wakisaini mikataba ya kitapeli na kifisadi kama wa DP World na bandari zetu, basi useme "kula kwa urefu wa kamba" na usiwaite mafisadi, au wezi maana kwao huko ni kuwatukana..!!
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzania wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
Bandari?
 
Back
Top Bottom