Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 150
- 565
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Pia soma:
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Pia soma: