Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Maneno mengi porojo tupu.
 
Toka apigwe risasi huyu Lissu kichwa hakijakaa vizuri. Anahitaji tiba ya haraka

Ndiyo maana ana wafuasi wengi hivi?

F5bZPf5bQAEC0WZ.jpeg
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
2024 tu kuivuka ngumu sana shekhe pole yako utabaki yatima na utabadili ID
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
huyu maza yenu mwenye diploma ya cherehani ndio presidential material???
 
Lissu anafaa kuwa raisi. Nimemfuatilia sana huyu mtu. Hapendi uonevu anapenda watu wapewe haki. Nilishangaa sana hata wakati mimi nafurahia Sabaya kuwekwa ndani bila kupelekwa mahakamani, Tundu Lissu alipiga kelele kwamba Sabaya hatendewi haki. Nilishangaa sana.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Lissu chukua nondo hizi

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzania wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
Duuu, yaani Tundu Lissu anahongeka!!.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Toa nfano wa kauli alizoropa tofati na hapo umeandaka taarabu tupu na kanga moko,changamoto zilizopo zimesababishwa na ccm kukaa madarakani kwa wizi wa kura,Lissu aliibiwa kura zake alimzidi jpm mbona usemi?

Changamoto zilizopo zimetokama ccm kuiba kura zitatatiliwa baada ya ccm kuondolewa madarakani kwanguvu.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Wewe mwenyewe uliyesikia akiropokaropoka ndiye uliye karibu muonye na wale ambao hawajasikia ina maana wako mbali naye. Right?
 
Binafsi huwa ninamshangaa sana ndugu TL....

Anaamini ni rahisi kufanya "cheap politics" kwa kuropoka mbele ya "ordinary citizens".....

Hana hata hoja moja ya mashiko juu ya kuhamishwa raia pale Ngorongoro.....

Ngorongoro si tu makazi ya wamasai bali ni TURATHI YA DUNIA...ndugu yetu ni "sarcastic"?!!!

#SiempreJMT

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa chawa mko kwenye panicking mode. Lisu ashikilie hapohapo, chawa mmeeanza kunyoosha maelezo baada ya honey moon kuisha.
Ukweli husemwa na yeyote....

Ndg.Tundu Lissu anafanyia siasa ndani ya turathi ya dunia.....si suala la wamasai tu....ni la watanzania...maisha yao na utalii....ni la kilimwengu....

Wale waliohamia Msomera Handeni ni wapumbavu ?!!!

Watu walihamishwa makwao kwenda vijiji vya ujamaa....hili lilikuwa ni la hiyari ?!!!

Tundu Lissu anafanya siasa zake kwa faida ya nani ?!!!!

Alipinga ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere kwa sababu dhaifu za uharibifu wa MAZINGIRA....Mbona sababu zilezile ndizo ziko upande wake hapo Ngorongoro?!!!

Hakika hii ni "sarcasm"



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzania wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
Bosi huyo ni nani ?!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom