Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima senkenke ilikuwa zamani ulionekana mkalikutokana na miundo mbinu kuwa mibovu mlima unaotisha ni RWABUNUNKA uko wilaya ya Kyerwa Mkoani kagera njia ya kwendo Mrongo mpakani.Huo ndo unatisha zaidi.
 
Mlima inayotisha Tanzania ni pamoja na kitonga one and two, lushoto, chamanyan Morogoro, na mwingine upo muleba, hii ya senkenge sikuhizi cha mtoto kwasababu ilihamishwa toka senkenge ya kwanza.
 
Huo nafkr utakua baada ya mahenge kuelekea lindi. Nafkr mahenge kuna milima ya hatar mana hata semi tela hazijawahi kukanyaga huko ni fuso tu

Kwa mlima ule ulivyo semi,haitakaa iende
 
Mlima kitonga labda ufananishwe na milima ya Nyang'oro
 
ama kweli barabara ukiipita kila siku unaizowea, huko kote mnabishana sioni mlima wa hatari.
 
Washazoea na wanaona ni mlima wa kawaida sana,lkn pamoja na kutisha kwa kitonga bado hauna rekodi kubwa ya kuangamiza maisha ya watu kama milima ya sekenke na ile ya lukumbure njia ya njombe- songea

Pale Kitonga madereva huwa wanaendesha kwa adabu ndo maana ajali haziwi nyingi, ila ule mlima ni balaa pamoja na kupita maranyingi still siuzoei, Sekenke wa kawaida tu tena sahivi walivyotengeneza ndo pamekuwa hata hapatishi, kuhusu ajali sijui ni kwanini zinatokea sana hapo
 
hakuna mwinuko unaweza kuulinganisha na Kitonga
 
siku hiz sekenke hakuna mlima ni barabara tu ya kawaida ila kitonga nomaaa,enzi zle tunaenda mza kupita singida na mashiku bus service ni balaa mkuu,

Mkuu hakuna mlima kuna nini pale siku izi sekenke inaua kuliko zamani

Nitakuwekea picha za matukio tofauti ya sekenke
 
Waliotengeneza barabara ile ya Kitonga ni vidume kweli, ingekuwa ni enzi hizi za Ari mpya wasingeweza, ona hatq vidaraja vya Jangwani vinawashinda...Mwalimu Nyerere upumzike kwa Amani!
 
Pale Kitonga madereva huwa wanaendesha kwa adabu ndo maana ajali haziwi nyingi, ila ule mlima ni balaa pamoja na kupita maranyingi still siuzoei, Sekenke wa kawaida tu tena sahivi walivyotengeneza ndo pamekuwa hata hapatishi, kuhusu ajali sijui ni kwanini zinatokea sana hapo

mizimu ya sekenke ndio inayoua watu pale kwa sasa. KUNA MIZIMU YA SEKENKE
 
Back
Top Bottom