Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Kuna mlima kama unaenda Mgororo Mufindi ni balaaa tupu
 
barabara ya Dom Iringa kupitia mtera, milima ya nyang'oro ndo balaa kitonga haioni ndani, sekenke hakuna mlima siku izi.

Nyang'oro ni umbali tu na idadi ya kona zipatazo kama 103 hivi. Kona zake ni gentle curves, chache sana katika hizo 103 ndo sharp corners. Kitonga ina steep slopes na sharp corners za hatari licha ya kwamba umbali ni mfupi kulinganisha na mlima nyang'oro.
 
Zenji kuna majina ya ajabu sana.
Hako kasehemu kuna suden drop ukipita na gari unajihisi kama uko kwenye rollercoaster,tumbo linakucheza fulani hivi,sasa kwa mabinti nadhani huhisi papuchi inawadondoka ndio maana wakakiita kilima nyege!
 
Hako kasehemu kuna suden drop ukipita na gari unajihisi kama uko kwenye rollercoaster,tumbo linakucheza fulani hivi,sasa kwa mabinti nadhani huhisi papuchi inawadondoka ndio maana wakakiita kilima nyege!

acha utani bwana
 
Huo nafkr utakua baada ya mahenge kuelekea lindi. Nafkr mahenge kuna milima ya hatar mana hata semi tela hazijawahi kukanyaga huko ni fuso tu
 
yote cha mtoto,kuna kitu inaitwa kaburi wazi na kona ya mkasi.toka sumbawanga kwenda ziwa rukwa.we acha tuu.nashangaa hata serikali kutopeleka hili eneo kwenye maajabu 8 ya dunia
 
Nenda pwani mchangani uone,nakushauri uvae chupi nyingi maana jinsi ulivyo wewe unaweza ukaachia samvu!

mkuu pwani mchangani pazuri sana kasheshe ukienda matemwe kuna sehemu kuna muinuko mkali utazani utumbo unatoka
 
Back
Top Bottom