lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
- #81
shikamoo sekenke
Kabisa mkuu,umenikumbusha Mashiku bus,pia kulikuwa na super najmunisa abiria wamebanana km daladala za Gongolamboto
Nyomi za Najmunisa 2004 ilikuwa balaa...
Mmmmh!!!!!!! Kitonga nikipita roho yangu naitoa naiweka pembe kwanza, hadi nimalize mlima ndio nairudisha.
Shikamooooo Zamiluni Zamiluni
Kagua tu Guard Rails zilizopo kwenye milima hiyo ndo utajua ni mlima upi mkali kwa maana ya Vertical na Horizontal curves. Lakini pia wakati mwingine angalia material iliyotumika kujenga kipande hicho cha mlima.
sekenke ndio inaongoza kwa ajali kuliko miteremko yote tena hii mpya ndio balsa afadhali ile yazamani haikuua sanaSekenke ndo ufananishe na Kitonga? Are you serious? Hata wakati huo uusemao bado Kitango ni hatarishi mara 100 kuliko Sekenke.Saranda ni kawaida sana pale!
kwa wale watu wa kusafiri safiri sana kati ya mlima sekenge uliopo singida mlima ulioua abiria kibao kwa ajari zake yaani mkifika na basi mnasali kwanza , enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu than basi linakuja na mizigo na dereva, na mlinga kitonga wa iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
huko ndio unazidi kumchanganya zaid maana hata kujua kama sekenkr upo au haupo hajui.
Looh ! hiyo roho inahitaji cage au mshikaji aitunze !!Mmmmh!!!!!!! Kitonga nikipita roho yangu naitoa naiweka pembe kwanza, hadi nimalize mlima ndio nairudisha.
Shikamooooo Zamiluni Zamiluni
Marahabaa!! Marahabaa....Binti usijeteleza bondeni kitonga, Mie bado napandisha sekenke hadi kufika Singida kama msaa 1 na nusu!!Mmmmh!!!!!!! Kitonga nikipita roho yangu naitoa naiweka pembe kwanza, hadi nimalize mlima ndio nairudisha.
Shikamooooo Zamiluni Zamiluni
tena yale maroli yalobeba nguzo hasa ndo huwa yanatisha, alafu madereva wengne wanapita kiboya wanaovatek kwa spidi kwenye vile vikonakonj
mlima nungwi ndo balaa maana kuna kona za maji za kufa mtu
Mlima kitonga vs mlima kilimanjaro, upi unatisha sana kwa madereva?
Post za kitoto
Mkuu super najimunisa hadi leo wapo wanajikongojaKabisa mkuu,umenikumbusha Mashiku bus,pia kulikuwa na super najmunisa abiria wamebanana km daladala za Gongolamboto