LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Mimi kwa mtazamo wangu naona kama mnalihukumu hilo vodacom kwa yasiyowahusu...utasusia kila kampuni ambapo watanzaniaa wengi amabao wana connection na hao mafisadi wana hisa humo...taja makampuni makubwa yenye wana hisa wa tz uone nini kitafuata...je ukikuta pesa alizowekeza huko alikopa au kuna wana hisa wadogo wadogo weengi sana humo na wamekopa si kulihukumu kampuni na wengineoo ???ni mtazamo wangu piaa...nina haki ya kujadili na kuwa upande mmoja lunyungu
Ni kweli, una haki ya kujadili hata kama unatofautiana na wengine.
Ila nilitegemea tayari ungekuwa umeshapata majibu ya maswali yako kwa kusoma post za waliokutangulia.
.