Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Huu mkutano umejaa ubabaishaji mwingi sana. Sidhani kama kuna wahusika wengi hapa nchini, hata katika ngazi ya mawaziri, wanaoelewa kwa undani dhima ya huu mkutano. Nadhani wao wanaona kama kijiwe kingine cha kupigia blah blah.
Mpaka sasa hivi sijaona mikakati yoyote ya kitaifa ya ku-tap potentials ambazo tumekuwa tukiambiwa kijuujuu kuwa zinakuja along side huu mkutano
Mpaka sasa hivi sijaona mikakati yoyote ya kitaifa ya ku-tap potentials ambazo tumekuwa tukiambiwa kijuujuu kuwa zinakuja along side huu mkutano